Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Meko alikuwa na kinyongo mpaka na majengo ya Bilicanas na la TANESCO pale Ubungo. Moja la biashara ya Mbowe na jingine akidhani ni la Lowassa...Kila mtu ana kiwango chake cha uvumilifu. Ndiyo maana yule ni Membe na yule ni Lowasa. Unazungumziaje visasi vya Hayati ambaye alikuwa anaweka visasi mpaka dhidi ya majengo? Msipangie watu hisia zao. Wewe sifia yeye akandie. Ni mgaanyo wa majukumu tu. Mimi Magu hakuwahi kunitendea personally lakini nachukizwa alivyotendea wengine.
Kikubwa tujifunze kutendea haki watu,tusiangalie matokeo angalia sababu.