Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,190
- 13,733
Jiwe alibomoa jengo la tanesco ubungo kwa kudanganywa eti ni la Lowasa.Akabomoa bilcanas kwa kudanganywa eti ni jengo la Mbowe kumbe NHC.Akawabomolea kimara kwa hisia eti walichagua chadema,akawafukuza watu Kazi Ili kumpooza machungu bashite dhidi ya sindano za Gwajiboy,akawanyanyasa watumishi kwa hisia eti walimpigia kura Lowasa.
Chuki ni mbaya sana umuumiza zaidi mwenye chuki.
Hapo pa kubomoa majengo kwa “kudanganywa” umeongopa.Kwamba Rais wa Nchi asijue Billicanas lilikuwa ni jengo la NHC?