AhsanteMechanical engineering ni wahandisi mitambo kazi unaweza ajiriwa viwandani , migodini, kwenye karakana za magari, gerege,
Vyuo vinavyotoa hii kozi ni DIT, Mbeya Tech, Arusha tech, na kadhalika
Ndiyo PGM anaweza soma hii kozi kwani Core subject ni Mathematics na physics
In short mechanical Engeneer ni ufundi mitambo,whether nagari, ndege, meli, Treni, mitambo ya viwandani etc
UDSM jeMechanical engineering ni wahandisi mitambo kazi unaweza ajiriwa viwandani , migodini, kwenye karakana za magari, gerege,
Vyuo vinavyotoa hii kozi ni DIT, Mbeya Tech, Arusha tech, na kadhalika
Ndiyo PGM anaweza soma hii kozi kwani Core subject ni Mathematics na physics
In short mechanical Engeneer ni ufundi mitambo,whether nagari, ndege, meli, Treni, mitambo ya viwandani etc
Du kumbe ndo hivyo ahsante sanaCourse nzuri sana hii,kwa KUAJIRIWA na kujiajjiri.uwanja ni wako
By the way ukijikamua ukaajiriwa kisha ukaja jiajiri basi utakua fire ndan ya jamii
Ni course nyepes KUJIAJIRI ndan ya engineering industry
Ndani ya mechanical utasoma IC,AUTOMOTIVE,HDRAULIC AND FLUID,DIGITAL, ELECTRICAL HASWA GENERATOR&MOTOR,TRANSFORMER
UTASOMA INDUSTRY AUTOMATION,POWER PLANT,STRENGTH, ROBOTIC,ENVIRONMENT ESPECIAL TO THE VEHICLE AND INDUSTRY, UTASOMA DESIGN YA VITU MBALI MBALI VYA INDUSTRY N.K
KWA KWELI KUNA MENGI SANAAAA UTAJUFUNZA
FURSA/SEHEMU ZA AJIRA NI NYINGI SANAAAAAAA
KUANZIA SERKALINI,TBS,HALMASHAUR,TEMESA,TANESCO,TANROADS,BANDARINI, N.K
PIA KUNA MINING,GESI,EWURA MENGI TU.
Pia viwandani kote lazma mech awepo,MAKAMPUNI MAKUBWA ya magar,mech yupoo,transport kuanzia bandar,reli,meli,ndege note mech wapo.ZAID ya yote fursa ya KUJIAJIRI ni kubwa sanaaa na utatoboa
Ukipata nje pia has a arabun daah itakua poa ZAID,mech huko wanapata greencard kama upo vizur na mambo yako yatakua super
Anayejuta kusoma mech bado hajitambui
Mkuu sikushauri ukasomee kozi yoyote ya science(note Uhandisi na afya) UDSM sababu wame base sana kwenye theory na hawana vifaa vya kutosha so utatoka umemeza theory tu na prac zer0 labda kama unataka kuwa mwalimu mzuri wa course yakoUDSM je
Mechatronic bongo bado sana mkuuHayo mavyuma yatapitwa na wakati soon soma mechatronics
vyuo vyote vya serikali vinavyotoa bachelor degree za engineering ukiangalia workshops zao zipo outdated yaani hazifai kwa matumizi ya sasa, ila udsm is the bestMkuu sikushauri ukasomee kozi yoyote ya science(note Uhandisi na afya) UDSM sababu wame base sana kwenye theory na hawana vifaa vya kutosha so utatoka umemeza theory tu na prac zer0 labda kama unataka kuwa mwalimu mzuri wa course yako
niongezee hapo.....unaweza ukakaa miezi mitatu bila kufanyakazi na mshahara wako upo pale pale kazi yako ni kusaini wakati wa kuingia na kutoka na chai unakunywa bureSwali lako linatakiwa upate jibu kwa kirefu na maelezo ya kutosha.
1. Kwakifupi Mechanical Engineer ni Mhandisi wa Mitambo.
2. Ajira za kazi hiyo zipo na hata nirahisi kujiajiri ikiwa kazi yako unaifaham.
3. Kuna sehemu kazi hii inahitaji nguvu na sehem zingine inahitaji akili tu.