Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Tatizo nimeliona kwa Tgo ukiweka vocha inalika bila hata kutumia huduma yoyote kwa mara 3 salio langu linatoweka situmii ring tone caller au upokeaji wa sms za taarifa yoyote. Voda, sijao tatizo sana na tarif zao, wapo na ughali fulani lkn ukifuata tarif yao wapo poa
Kaka ni wote hakuna tigo, voda, airtel wala zantel, mimi natumia zote kasoro airtell ila ni balaa!!!!