Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,221
- 6,461
Habari kwenu wadau.
Mada hapo juu yajidadavua. Hiki cheo cha umakamu wa Rais mbona sikisikii kwa ndugu zetu wa maziwa makuu kama inavyosikia Kenya na Tanzania?
Je cheo hiki kipo kwa hawa ndugu na jirani zetu?
Mada hapo juu yajidadavua. Hiki cheo cha umakamu wa Rais mbona sikisikii kwa ndugu zetu wa maziwa makuu kama inavyosikia Kenya na Tanzania?
Je cheo hiki kipo kwa hawa ndugu na jirani zetu?