MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Nimeona namna wateule wanavyoteuliwa na kutenguliwa kila leo nikajiuliza endapo tungepewa rungu la kutengua Marais na kuweka wapya je toka kuundwa kwa nchi yetu tungekuwa na Marais wangapi?
Kwanini tusiwaze kuwa na njia ngumu za uteuzi na njia ngumu za kutengua Kama walivyo Kenya? Utenguliwe kwa sababu na uzijue na wananchi wazijue na unapoteuliwa pia tujue kwanini umeteuliwa .
Kwanini tusiwaze kuwa na njia ngumu za uteuzi na njia ngumu za kutengua Kama walivyo Kenya? Utenguliwe kwa sababu na uzijue na wananchi wazijue na unapoteuliwa pia tujue kwanini umeteuliwa .