matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,278
- 14,513
msinione mjinga, ioa najiuliza tu.....
matusi ni nini?
Kwa nini mfano neno '' Nyoko'' kwa maana ya asili ni ''Mama''
mtu akiambiwa ''Nyoko'' anakuna, anakasirika anataka hata kupigana hata kama ni mmama.
Neno hilohilo utasikia vijana wanaambiana '' Yule jamaa ni Nyoko'' yaani Yuko vizuri kupitiliza.
kwa nini tukasirike tunapotukanwa hata kama maana ya tusi haina uhusiqno na uhalisia wetu?
matusi ni nini?
Kwa nini mfano neno '' Nyoko'' kwa maana ya asili ni ''Mama''
mtu akiambiwa ''Nyoko'' anakuna, anakasirika anataka hata kupigana hata kama ni mmama.
Neno hilohilo utasikia vijana wanaambiana '' Yule jamaa ni Nyoko'' yaani Yuko vizuri kupitiliza.
kwa nini tukasirike tunapotukanwa hata kama maana ya tusi haina uhusiqno na uhalisia wetu?