Hivi matusi ni nini? kwa nini mtu akoswe amani akitukanwa?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,278
14,513
msinione mjinga, ioa najiuliza tu.....
matusi ni nini?
Kwa nini mfano neno '' Nyoko'' kwa maana ya asili ni ''Mama''
mtu akiambiwa ''Nyoko'' anakuna, anakasirika anataka hata kupigana hata kama ni mmama.

Neno hilohilo utasikia vijana wanaambiana '' Yule jamaa ni Nyoko'' yaani Yuko vizuri kupitiliza.

kwa nini tukasirike tunapotukanwa hata kama maana ya tusi haina uhusiqno na uhalisia wetu?
 
msinione mjinga, ioa najiuliza tu.....
matusi ni nini?
Kwa nini mfano neno '' Nyoko'' kwa maana ya asili ni ''Mama''
mtu akiambiwa ''Nyoko'' anakuna, anakasirika anataka hata kupigana hata kama ni mmama.

Neno hilohilo utasikia vijana wanaambiana '' Yule jamaa ni Nyoko'' yaani Yuko vizuri kupitiliza.

kwa nini tukasirike tunapotukanwa hata kama maana ya tusi haina uhusiqno na uhalisia wetu?
Matusi ni raha na karaha kama ilivyo kwa lingine lolote. Kwa mmoja raha kwa mwengine karaha.
 
Tusi ni matumizi mabaya ya kauli au neno. Neno laweza kuwa tusi kwa mtu A na lisiwe tusi kwa mtu B kutegemeana na muktadha wa mazungumzo. Mimi ni mweusi lakini kuna mazingira ya kuzungumzia weusi wangu kutafanya lionekane ni tusi ama la!.



Barafu la moto
 
Matusi ni lugha na maneno yote yasiyokubalika katia jamii.

Mananeonu ambayo kuyatumia ni un ethical and immoral.
 
msinione mjinga, ioa najiuliza tu.....
matusi ni nini?
Kwa nini mfano neno '' Nyoko'' kwa maana ya asili ni ''Mama''
mtu akiambiwa ''Nyoko'' anakuna, anakasirika anataka hata kupigana hata kama ni mmama.

Neno hilohilo utasikia vijana wanaambiana '' Yule jamaa ni Nyoko'' yaani Yuko vizuri kupitiliza.

kwa nini tukasirike tunapotukanwa hata kama maana ya tusi haina uhusiqno na uhalisia wetu?

Umeona ujanja kweli kufahamu kuwa Nyoko lina maana tofauti na tusikias kwamba hata mtu akikwambia Nyoko huwez kuchukia
Haya kwa mfano Mtu akikuita we Msenge,,we msenge wewe njoo nikutume msenge mkubwa wewe
Utamwambia nini Mkuu
 
Umeona ujanja kweli kufahamu kuwa Nyoko lina maana tofauti na tusikias kwamba hata mtu akikwambia Nyoko huwez kuchukia
Haya kwa mfano Mtu akikuita we Msenge,,we msenge wewe njoo nikutume msenge mkubwa wewe
Utamwambia nini Mkuu
msenge ni mtu mume anayeingiliwa kimapenzi nyuma na maumbile.
sasa mimi hilo neno halitanihusu wala kunisumbua maana sifanyi hayo.
Ni ujinga kuumia kwa kuambiwa mambo ambayo wewe unajua huyafanyi.
 
Tusi huwa ni tusi kutokana na tafsiri ya aliyetukanwa na tafsiri hizo huwa na maana 2 yaani hasi au chanya.ndo maana matusi hayo hayo utawakuta wengine wanaambizana na kucheka tu km maongezi ya kawaida.

Lkn matusi hayo hayo ukimwambia mwingine anarusha ngumi. Hivyo tusi ili liwe tusi hutegemea na tafsiri ya aliyetukanwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom