Hivi Matumizi ya internet kwa mtandao wa Vodacom yako vipi?

Data limit kwenye smartphone imejigawa mara mbili, kutahadharisha kama umefikia kiwango ulichoset na Kudisconnect data endapo kiwango ulichoset kimefika.
Data limit inafanya kazi kama LUKU ila hiyo tofauti yake unaset kiwango ambacho unataka kikutahadharishe au kudisconnect. Ikisha disconnect unaweza kure-enable na kuona namna utavyoanza kuperuzi na mb zinazotumika kwanzia muda huo.
Mfano umetoka kujiunga 2Gb ya data, unaenable data limit, then unaweka kiwango ambacho unataka ukitumie kwa uwezo wako e.g. 1.5Gb then ikishafika unajua baada ya hapo unakuwa unahesabu kiwango cha mb kinachoenda ukiwa unaperuzi.
Namna ya kuset, mfano data limit unataka kuset 1.8Gb kwenye 2Gb yako, zidisha hiyo 1.8x1024=1843.2mb.
Nashukuru nimekupata, ntajaribu then nitaleta mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aha haha rudi nyumbani kumenoga wewe mb300 za shilling 500 nafanya nachotaka hizo za buku 4gb ndio kabisa simalizi. Ttcl Juzi Kati walizingua sasa wamekaa Sawa kwa kiwango cha 5g ukigusa tu pah vitu vinafunguka kama vyote ha ha ha ha ha ha

Hiyo speed ukitoka nje ya mji kidogo ndo imetoka, kutuma sms zinafail, download speed ndogo sana
 
Vodacom hawaeleweki. Ukinunua MB nyingi wanashambulia, ukinunua kidoogo wanakuacha utumie vizuri. Juzi nilinunua 2.5GB kwakuwa nilikuwa ninakazi nyingi siku hiyo nikaona ili kifurushi kisiishe katikati zilivyobaki kama 990mb nikaunga kingine juukwajuu (kuna kitu nilikuwa nadownload. Wakuu, nilijicheka mwenyewe. Zile mb 900 zilifanya kazi na zikabaki wakati mwanzo zilikuwa zinaki bia kama upepo. Zile 2gb za mwisho sikugusa hata mb 1 pamoja na kupambana kuload video ndefu mpaka mwisho huko yutyubu. Vodacom kuna siku watakipata wakitakacho.
 
Wakuu nauliza hivo maana kilichotokea wala sijaamini

Yaani 1GB imeisha kwa kudownload apps mbili tu na kutumia whatsapp ndani ya dakika 10

Hii kali sasa
Bora voda mimi uwa najiunga internet ya buku 3 yani 3gb kwa siku naitumia mpaka jioni, ila halotel wezi kinoma aisee, same GBs yani ndani ya lisaa naambiwa imeisha. Tena siyo mara moja na hapo hapo speed yao ya kinyonga
 
Back
Top Bottom