Daladala sio tipa, wa tipa hakupigwa alitishiwa na muwe wa zamaradiSiyo daladala ni Tipa la mchanga
Daladala sio tipa, wa tipa hakupigwa alitishiwa na muwe wa zamaradiSiyo daladala ni Tipa la mchanga
Huyu dada huwa anagombea huko tabora, niliwahi muona cbe akiwa makamo waraisi, nikapata stori kuwa alikuwa mtu wa kupiga mapensi tu ila alivyoanza siasa chuoni na kugombea uongozi akaanza kuvaa hijabuNdiye, na anatafuta jimbo. Mavunde ajipange.
hahahambona unafichaficha kwa kusema ajali, sema alieua dereva wa daladala kwa kumpiga risasi kisa mabishano ya barabarani.
Andrew Chenge aka nyoka mwenye makengeza.Hivi aliyegonga bajaji na kusababisha vifo akiwa hana leseni ni huyo huyo?
Ni Mzee wa VijisentiHivi aliyegonga bajaji na kusababisha vifo akiwa hana leseni ni huyo huyo?
Stamili alicheza Mtibwa siyo Yanga.Ana ndugu yake anaitwa Stamili mbonde Ni mchezaji mpira,
Sijui anachezea club gani sasaivi,
Ila Kama ashawai pia kuchezea yanga nadhani
Huyo ni Andrew Chenge, Mzee wa V. G. CentHivi aliyegonga bajaji na kusababisha vifo akiwa hana leseni ni huyo huyo?
JIna la huyo unaesema ni babake nikiliandika hapa bila kurekebisha auto-type inaniletea UKIWAONA NITUPIE WAZURIWAZURINauliza tu wasifu wa huyu mbunge wa viti maalumu, Mariam Ditopile mjumbe wa kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya bunge la JMT.
=======
View attachment 1919094
Pichani; Mariam Ditopile kushoto wakati akikabidhi mifuko 100 kama msaada
Aisee unakumbuku Sana, yaani hadi jina lake?!!.Alimpiga risasi Hassan Mbonde Dereva wa Daladala
Kazi ngumu wapi wewe??. Gwajima ni jeshi la mtu mmoja anaweza tu kuwavuruga wote,si unaona SPIKA mwenyewe ameshaanza kujichanganya Kwa Kauli zake hadi kuomba radhi?!!. Hiyo tu ni dalili mbaya kwa wapinzani wa Gwaji boy.Sawa.....
Gwajima atakuwa na jumapili nyingi kweli za KUWATANDIKA BAKORA makomredi wa CCM.....
Huyo Mh.Mariam Ditopile si mwepesi kisiasa kwa kuwa tu ni wa viti maalum.....kule viti maalum Kuna chujio....kuna mchakato mkali na mgumu wa UCHAGUZI....
Mh.Mtunduizi Kirumbe Ng'enda amejitoa "dhabihu" ya kushambuliwa naye....
Kweli Gwajima amejipa kazi ngumu ITAKAYOMSHINDA.....
HASHTAG CCM IMFUKUZE GWAJIMA
#SiempreCCM
#ChamaKwanzaKablaYaYeyote
Endelea kusubiri....nasi tunasubiri....Kazi ngumu wapi wewe??. Gwajima ni jeshi la mtu mmoja anaweza tu kuwavuruga wote,si unaona SPIKA mwenyewe ameshaanza kujichanganya Kwa Kauli zake hadi kuomba radhi?!!. Hiyo tu ni dalili mbaya kwa wapinzani wa Gwaji boy.
Afanye nini "kiroho"?!!!Huyu mtoto inabidi afanye kitu kiroho..maana in future kizazi Chao kisije pata madhara kutokana na makosa ya baba yao..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio ni mwanae wa kuzaaNauliza tu wasifu wa huyu mbunge wa viti maalumu, Mariam Ditopile mjumbe wa kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya bunge la JMT.
=======
View attachment 1919094
Pichani; Mariam Ditopile kushoto wakati akikabidhi mifuko 100 kama msaada
Tena angejua kuwa usagaji sasa unafanywa sana,kati ya wanawaje 10 wa tanzania 7 ni wasagajiTuna wasagaji watoto wa masikini wengi tu
hata hao wanasiasa wengine tunaowaona vituko, majority ni watoto wa wakulima walioshiba vyeo
Babu yangu aliwai kuniambia kipindi cha vita ya kagera kuna operations ndogo ndogo nyingi na muhimu zilizokuwa zinapangwa na mzuzuri na askari walikuwa wakisikia wanaenda kwenye operation chini ya huyo mwamba wanakuwa na morali zaidi, inasadikika mzuzuri ni moja ya watu waliokuwa na uwezo mkubwa saana wa kupanga operations hatari kwa aduiDitopile alisababisha ajali? Weka facts zako sawa. Alimpiga dereva wa daladala aliemletea ujuaji risasi ya kichwa kwa hasira.
Mnh......Kumbe hajaacha?
Nilijuaga utoto tu nyakati zile
Joka ndiyo alibeba hii kesi,si unajua tena joka Mzee wa masheria kichwani,alifanya figisi hadi akaishia kupigwa fine tu ya 1M au 2M hivi mahakama ya kinondoni!