Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Jamani ebu tuangalie huko Ivory Coast, uchaguzi umefanyika na watu kama 12 wamefariki dunia kwa vurugu; halafu matokeo yanacheleweshwa kutangazwa mpaka muda wa kutangaza matokeo kikatiba umepita. Hivi ni kwa nini Marais wa Afrika wanaokuwa madarakani wengi wao hawataki maamuzi ya wananchi? Naomba Wikileaks watusaidie kwenye hili!
Mambo haya yametokea Kenya, Zimbabwe, Tanzania ikiwamo Zanzibar.
Source: Radio DW 2/12/2010 6 AM; Ivory Coast to announce partial election results - CNN.com
Mambo haya yametokea Kenya, Zimbabwe, Tanzania ikiwamo Zanzibar.
Source: Radio DW 2/12/2010 6 AM; Ivory Coast to announce partial election results - CNN.com