Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

Dumber words haven't been spewed today. Just WOW. Hakuna mtanzania aliyebuni Malaria, kama vile hakuna muingereza aliyebuni heart attacks,Alzheimer na cold. Naona baaada ya hoja yako kuwa hakuna publications za researcher watanzania kuumbuliwa kwa simple links proving otherwise ,unaanza kuleta hadithi za kinachoandikwa sio cha kwao. Hivi unajua moja ya page ya kwanza kwenye kazi yoyote ya research ni ipi?well, ni ku-declare kuwa ulichokiandika ni kazi ya mkono wako, na kama kuna kazi ya mwengine umeweka iko properly referenced. Sifanyi kazi IHI, sifanyi kazi TZ, ila uongo uliouleta hapa Kuhusu IHI, ni sawa na kusema fizikia wanazosoma watu hapo UD si za kwao kwa kuwa vitabu vimeandikwa na waingereza.wewe kweli kweupe kichwani. Nilidhani uko hapa kutoa hoja, kumbe uko hapa kubishana, Hopeless. And how has any of that got to do with research?
Naona unajijibu ugoro wako na ndoto zako za Abunuasi....ubinifu si kubuni ugonjwa,ingawa nayo inaweza isiwe case tukirudi ktk Bilogical weapons.KM mlikuwa na akili hiyo basi mngekuwa wa kwanza kuona umuhimu wa kutumia mbinu mpya ktk kutibu malaria na si kurudiarudia madawa na kuongeza uzalishaji..Waliopata wazo la haja ndio walioset hizo research na kuamua zifanyie vipi iliw afikie majibu gani.Full stop....Hiyo set up nzima ya tafiri walibuni wenzenu na nyie ni vibarua tuu...
 
Samahani muheshimiwa sikujua. Any how nafikiri tittle is not an issue, issue ni contents ya discussion, mimi nafikiri mleta mada anania njema sema wachangiaji wamekuwa so diffensive. Mimi nafikiri kukubali ukweli ni nusu yakutatua tatizo. I am sure tukikubali kuwa tunaudhaifu tutapata solution for the future generation. Mimi narudia tena tujaalie no fund ndo itasabibisha tafiti zisifanyike? Mbona zama za mawe mababu zetu walifanya tafiti na wakagundua moto kwa kupekecha miti???? Narudia tena nimetoa mfano kuonyesha there is no room ya kuescape kwamba Tanzania hamna fund za research. Hembu tuanze hata in primitive way but concrete idea tuone kama hawatatujoin. Nafikiri Nicolos(mtoa title) anasisitiza creativity na si kuripoti(beig operator). Mimi nimesama nafikiri mind-set back yetu ndo chazo kikubwa cha kutojiengeji kwenye tafiti ambazo zitazaa publication zenye impact.
Mkuu huyu jamaa kaja haribu hii thread..ili kuficha aibu yao..ndio solution za waafrica kumuua nyoka,bundi etc na si kuepusha nyoka kutudhuru.Ndio wanachofanya hapa kwa vile hajui sana wafanyayo,hawajali,hawajiulizi maswali ya msingi zaidi ya kujinganya....SI UMEMSIKIA ANAKATAA KUITWA DR...ILA ANAJISIFU KWA UZOEFU WA KUWA KTK TAFITI.
 
Moja, London is where i live and work, kwa hiyo kama nikiandika kiingereza usichokielewa jua kuwa ndio ninachokitumia hapa nilipo. Pili, kama huelewi the simplest of research keywords, kuna haja gani ya kuanzisha mada kuhusu research?au ulitegemea wachangiaji wa-stick to name calling and cursing as is the norm in political debates here? Naona umerudi kwenye GOD given Proven ability of yours. Throwing unsubstantiated accusation proved by NOTHING other than your messed up GUTS and lack of decent discussion skills. Just bravo. what's next? Kimweri happens to embezzle money at IHI and HIV does not infect white people? Unaweza kwa lugha nyepesi kabisa kuniambia maana ya nano-technology, na inavyotumika kwenye research?same as bio technology?unaruhusiwa kutumia google, nakupa hadi wiki ijayo kujibu.unaweza jibu kwa kiswahili kwa faida ya wote humu ndani.
Swiss, China,Italy,Spain,German kuna wengi hawajui hicho kiingereza ila wanafanya tafiti hadi wanawaletea nyingine ili nanyi mshiriki msiachwe na dunia...wanafanya vitu ambavyo wasomi wa aina yako wanahitaji generations za kusoma sana ili muweze pata ndoto zinazoelekea ktk hizo fikra.Unataka jisifu kiingereza,kashindane na waingereza ukishinda uwaringishie.
 
Swiss, China,Italy,Spain,German kuna wengi hawajui hicho kiingereza ila wanafanya tafiti hadi wanawaletea nyingine ili nanyi mshiriki msiachwe na dunia...wanafanya vitu ambavyo wasomi wa aina yako wanahitaji generations za kusoma sana ili muweze ota.

wewe kichwa maji nafanya kazi uingereza unataka nifanye reseach kwa kizigua?

Nani amekuambia waingereza, wajerumani na wachina hawasomi sana?umeshawahi kukutana na mchina darasani wewe?au unawaona kwenye TV tu na hao unaokutana nao kariakoo?

SMH
 
Mkuu huyu jamaa kaja haribu hii thread..ili kuficha aibu yao..ndio solution za waafrica kumuua nyoka,bundi etc na si kuepusha nyoka kutudhuru.Ndio wanachofanya hapa kwa vile hajui sana wafanyayo,hawajali,hawajiulizi maswali ya msingi zaidi ya kujinganya....SI UMEMSIKIA ANAKATAA KUITWA DR...ILA ANAJISIFU KWA UZOEFU WA KUWA KTK TAFITI.


Hivyo vyeo vya Dr. kwenye forum za kijamii sio mahala pake, ushamba wenu wekeni huko kweneye siasa zenu ambazo PhD imekuwa token ya kuombea kura.

umeambiwa utoe hoja unaanza kubuni sababu zisizokuwepo na visingizio vya hovyo hovyo, ukiwa challenged unaleta matusi na kutoa claims usizoweza kuzifanyia proof hata ukipewa mwaka mzima.
 
wewe kichwa maji nafanya kazi uingereza unataka nifanye reseach kwa kizigua? Nani amekuambia waingereza, wajerumani na wachina hawasomi sana?umeshawahi kukutana na mchina darasani wewe?au unawaona kwenye TV tu na hao unaokutana nao kariakoo? SMH
Utakuwa mbeba maboxi wewe....au akili za kihivyo.Nani kasema hawasomi?Nimesema wapo wengi wasiojua kiingereza..ila akili yako inadhani kiingereza na kusoma ni kitu kimoja.Unaweza kijua km mswahili ajuavyo kiswahili ila hajui mambo yanayomzunguka na kuijua dunia.Sasa umefanyia wapi hizo research hadi upayuke kuwa una uzoefu sana ifakara?Mpumbavu ni mpumbavu tuu ujapiga kelele tuu sema tuu wew ni mojawapo ya vilaza na wapika data wa bongo,hiyo Ifakara kwa vile mnashikiwa fimbo ya hela na uangalifu ndio maana hamjapata nafsi ya kuvaa unyaji wenu na kuanza biashara ya kubomoa.HUko UK ndio umepelekwa ukafanya kibarua cha kurudiarudia process ktk stage ingine ya research?Lazima ukimbilie si visingizio ni fungu la tafiti,sasa umepewa access ya lab nzuri....tuambie nini cha tofauti umefanya ukiwa km main authur?
 
Naona unajijibu ugoro wako na ndoto zako za Abunuasi....ubinifu si kubuni ugonjwa,ingawa nayo inaweza isiwe case tukirudi ktk Bilogical weapons.KM mlikuwa na akili hiyo basi mngekuwa wa kwanza kuona umuhimu wa kutumia mbinu mpya ktk kutibu malaria na si kurudiarudia madawa na kuongeza uzalishaji..Waliopata wazo la haja ndio walioset hizo research na kuamua zifanyie vipi iliw afikie majibu gani.Full stop....Hiyo set up nzima ya tafiri walibuni wenzenu na nyie ni vibarua tuu...

Na kili yako fupi kama nyundo unaamini kabisa mimi ni daktari/mtafiti wa IHI.kwa hiyo nikiweka mfano wa CC ya Chadema utaniita mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA?

Kid, if you can not argue your point without attacking mtoa hoja then you probably have a nothing to argue.At this point i don't see any reason to continue engaging you, for i am convinced you know nothing about research and definitely are very misinformed about how the academic world works.
 
Hivyo vyeo vya Dr. kwenye forum za kijamii sio mahala pake, ushamba wenu wekeni huko kweneye siasa zenu ambazo PhD imekuwa token ya kuombea kura. umeambiwa utoe hoja unaanza kubuni sababu zisizokuwepo na visingizio vya hovyo hovyo, ukiwa challenged unaleta matusi na kutoa claims usizoweza kuzifanyia proof hata ukipewa mwaka mzima.
Acha wehu wewe....nani kakuambia Dr..ina mahala..?Kofi Annan alikuwa akitanguliza Dr..nayo ilikuwa kuombea kura?Si ukubali tuu kuwa unaionea aibu kmwa Vile mpango mzima hapa unaongelea wapiga kona km wewe?Mpango mzima umekuumiza na kukuchefua mapema sana..pole sana.Kwanini usikubali tuu tatizo na ukaanza andika paper hata km utaandika ukiwa umeshapewa PHD si mbaya.Mbona Bongo kuna watu wana driving license wakati hawajui gari ,kisha wanakwenda soma.Pengine inaweza kuwa motivation na assurance kuwa ni wewe ujifunze vitu ili uweze fanya kazi si cheti tena kwa vile unacho
 
Na kili yako fupi kama nyundo unaamini kabisa mimi ni daktari/mtafiti wa IHI.kwa hiyo nikiweka mfano wa CC ya Chadema utaniita mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA? Kid, if you can not argue your point without attacking mtoa hoja then you probably have a nothing to argue.At this point i don't see any reason to continue engaging you, for i am convinced you know nothing about research and definitely are very misinformed about how the academic world works.
Kwani motive behind kuweka IHI na Chadema ,Bavicha ni nini?Na umeirudiarudia sana kuliko hata uwezo wako wa kuchangia mada?Nadhani huji unachosema hapa...Kwani nilichoandika hapa kinaumiza sana CCM ktk kura?Kwanini msilifanyie kazi kuliko kupoteza muda kuharibu thread?Km si mmojawapo ulijifagilia nini kuhusu uzoefu na Unafanya tafiri za PHD za nini,wakati huna malengo wala hela?
 
Utakuwa mbeba maboxi wewe....au akili za kihivyo.Nani kasema hawasomi?Nimesema wapo wengi wasiojua kiingereza..ila akili yako inadhani kiingereza na kusoma ni kitu kimoja.Unaweza kijua km mswahili ajuavyo kiswahili ila hajui mambo yanayomzunguka na kuijua dunia.

Ofcourse nabeba boksi, 2 decades and counting, au ulizania wabeba boksi tunamaanisha tunatembea na maboksi kichwani?

Sasa umefanyia wapi hizo research hadi upayuke kuwa una uzoefu sana ifakara?

Something you have to prove I said, before expecting an answer from me.

Mpumbavu ni mpumbavu tuu ujapiga kelele tuu sema tuu wew ni mojawapo ya vilaza na wapika data wa bongo,hiyo Ifakara kwa vile mnashikiwa fimbo ya hela na uangalifu ndio maana hamjapata nafsi ya kuvaa unyaji wenu na kuanza biashara ya kubomoa

Hujui ninakofanya kazi,
Huna ushahidi wala uhakikisho wowote kuwa mimi ni staff wa IHI
Mifano niliyoweka humu ndani ni ya wasomi tofauti wa kitanzania,FYI nimeweka research bodywork ya Kamuzora wa TTCL, since humjui, na hujui research bacckground yake hukusema chochote, I guess muda si mrefu utaanza kuniita staff wa TTCL.
Typical of BAVICHA hotheadedness.
what next utanitabiria nitakachofanya na kesho asubuhi?

HUko UK ndio umepelekwa ukafanya kibarua cha kurudiarudia process ktk stage ingine ya research?

Sasa mada imehamia kumjadili Kimweri, wewe kweli kichwa cha panzi, yani upo upo,tu, unaruka kutoka hoja moja hadi nyengine. Ninachofanya UK, na kazi ninayofanya inakuhusu nini?

Lazima ukimbilie si visingizio ni fungu la tafiti,sasa umepewa access ya lab nzuri....tuambie nini cha tofauti umefanya ukiwa km main authur?

Trust me, if i detected even a slight presence of brain matter with you, i would have been discussing what i do. I am not going to bother, since you will not grasp anything and it is of no use in JF. so stick to what is useful here.If you can salvage even that.
 
Kwani motive behind kuweka IHI na Chadema ,Bavicha ni nini?Na umeirudiarudia sana kuliko hata uwezo wako wa kuchangia mada?Nadhani huji unachosema hapa...Kwani nilichoandika hapa kinaumiza sana CCM ktk kura?Kwanini msilifanyie kazi kuliko kupoteza muda kuharibu thread?


Wow!Sasa unaniita CCM.

Boy.you are something.
 
Ofcourse nabeba boksi, 2 decades and counting, au ulizania wabeba boksi tunamaanisha tunatembea na maboksi kichwani? Something you have to prove I said, before expecting an answer from me. Hujui ninakofanya kazi, Huna ushahidi wala uhakikisho wowote kuwa mimi ni staff wa IHI Mifano niliyoweka humu ndani ni ya wasomi tofauti wa kitanzania,FYI nimeweka research bodywork ya Kamuzora wa TTCL, since humjui, na hujui research bacckground yake hukusema chochote, I guess muda si mrefu utaanza kuniita staff wa TTCL. Typical of BAVICHA hotheadedness. what next utanitabiria nitakachofanya na kesho asubuhi? Sasa mada imehamia kumjadili Kimweri, wewe kweli kichwa cha panzi, yani upo upo,tu, unaruka kutoka hoja moja hadi nyengine. Ninachofanya UK, na kazi ninayofanya inakuhusu nini? Trust me, if i detected even a slight presence of brain matter with you, i would have been discussing what i do. I am not going to bother, since you will not grasp anything and it is of no use in JF. so stick to what is useful here.If you can salvage even that.
Wewe kwa akili hii hata simplest robot is a way better employee kuliko wewe.....umefuka povu sasa umefail flat..sasa unaanza lia km Mkumbo....unaplay victim.Wakati umeingilia thread bila kukaribishwa ukaja cheza ngoma zako za uchi.Sasa hutaki watu wacheke makalio yako.
 
What an interesting discussion!
Kimweri I have two issues that I would like to have your responses:

1. Re, citations as an indicator of someone's research cum scientific excellence/mighty. Yes, I know this has been used as a 'proxy' to scientific excellence. But, I have a problem with this indicator. You may see in Google Scholar and associated platforms, scientists/researchers with high citation indexes. What you will never see or find out is whether the citations are based on positive or negative views re the cited papers' contributions to science and policy or practice. For instance, a paper might be cited 500 times. Probably, 200 citations are based on negative viewpoints about the paper. Scientists/researchers may cite the paper to discredit it due to its methodological or conceptual framings. But, you won't know this; all that you will know is that it has been cited 500 times!

What's your take on this?

2. Open access vs. subscription-based journals. You wrote about some journals be members' strictly journals, that non-members can't even find it on Google search [if I understood you correctly, if not expound on it]. I wonder what would be contributions of papers published in search journals, to science [knowledge and its spread] and society? There is a big debate now in the academic circles [conferences, public lectures, online listservs etc.] in the Europe and US [led by critical academics] about 'commercialisation of publishing houses'. Non-open access journals usually go with high institutional or individual subscriptions [most of Universities in the South don't have financial muscles to deal with this]. The profits gained by publishing houses [e.g Routledge, Elsevier, Taylor and Francis, Blackwell John Wiley & Sons, Springer Science, USNAS] are enormous. The question that is being asked now is: how do these companies give back to science/research from their profits? If they are making billions out of selling 'science' to the world, they should surely give back some of the profits to keep science rolling. In reality, these publishing houses aren't giving back to science.

That is why, these academics are calling for more open-access projects and publishing houses hosted by academics/academic institutions. More projects like PLoS, BioMed Central, Hindawi Publishing Corporation, SAGE [though it is also involved in non-open access publishing], MedKnow Publications etc. Of course, small subscription fees should be there to keep these publishing houses moving; and use some monies to give back to science through provisions of research grants, hosting academic conferences etc.

What's your two cents?
Nicholas I think you may have a point in some cases. I may agree with you on this: Tanzanians' contributions to scholarly debates is meagre. There are many reasons [some have been explained in this thread] for this. Mine is just what Mamdani called 'consultancy culture' in African academia. Again this is a result of many factors, one being lack of public funds for scholarly researches. These put African academics in a situation of having their researches 'influenced' and funded by corporations, international organisations, donor nations etc. They subsequently, get involved in doing research assignments of the funders; and not scholarly researches based on research problems [from academic point of view].
Such works are usually not 'publishable' in respected international peer-review journals. Though, saddening, it is what it is. Our COSTECH still has no financial mightiness to fund for scholarly researches. All the countries in the North have their 'COSTECHs' funded in billions of US$. Giving opportunities to their academics to engage in searching research problems [based on experimental, empirical and theoretical grounds], aiming at contributing to science and society [policy or practice].

The other thing, which is facing not only Tanzania, but also other South nations, is 'politics in the journals' governance'. Most of the well respected journals are hosted in the North. Most of the journals' editors are also from the North. Even for the self-identified journals dealing with South's problems, northern scholars dominate in the editorial boards. I am being a realist here. It is such arrangements that give Northern scholars added advantage. In the academia, academic networks are almost priceless for one's adventure. It is almost impossible to excel without such networks. It is these networks that help 'them' to have upper hand in getting their papers accepted and published. It is evident too for Southern academics who have managed to publish on respected journals. They are literally part of the networks; for Southern academics who don't have 'links' with such networks, it's a tough venture for them. It is saddening, but that's how things work.

Lastly, we have many Tanzanian academics and researchers publishing in well respected journals [with high impact factors]. I am aware of excellent works by them in the fields of: ecology and environmental sciences. They are mainly from SUA and some from UDSM. Though, not as high as South African or Nigerian academics, I'm proud of their works.


NB: I have a mobile phone, so typos might be possible.
 
Last edited by a moderator:
Wow!Sasa unaniita CCM. Boy.you are something.
Mwehu kweli nimekuuliza ujibu hayo maswali ambayo hayana nilipokuita CCM ila nini kilichokushawishi uingize Chadema,BAvicha ,IHI.Kura etc...na nikakuuliza km nilichoandika hapa kinaumiza CCM ktk kura?ungejibu kuliko kurukaruka km wapuuzi wengine huku mitaani.Upo shallow km wanawake walivyo shallow ktk vitu ambvyo vinawazunguka.Kwa vile muda mwingi wanasoma matangazo ya chupi,shopping list,mapenzi...vingine wanasikiliza ktk makundi nani kasema nini, etc.Hata wanawake wanasiasa hawana fact wala kujua mambo ambayo walipaswa jua kabla kuingia hizo office.
 
One more thing Nicholas you can use Google Scholars to narrow down your search. Use keywords such as Tanzania, Dar es Salaam and Morogoro, to find out papers written by Tanzanian academics. You might be surprised!
 
Last edited by a moderator:
What an interesting discussion! Kimweri I have two issues that I would like to have your responses: 1. Re, citations as an indicator of someone's research cum scientific excellence/mighty. Yes, I know this has been used as a 'proxy' to scientific excellence. But, I have a problem with this indicator. You may see in Google Scholar and associated platforms, scientists/researchers with high citation indexes. What you will never see or find out is whether the citations are based on positive or negative views re the cited papers' contributions to science and policy or practice. For instance, a paper might be cited 500 times. Probably, 200 citations are based on negative viewpoints about the paper. Scientists/researchers may cite the paper to discredit it due to its methodological or conceptual framings. But, you won't know this; all that you will know is that it has been cited 500 times! What's your take on this? 2. Open access vs. subscription-based journals. You wrote about some journals be members' strictly journals, that non-members can't even find it on Google search [if I understood you correctly, if not expound on it]. I wonder what would be contributions of papers published in search journals, to science [knowledge and its spread] and society? There is a big debate now in the academic circles [conferences, public lectures, online listservs etc.] in the Europe and US [led by critical academics] about 'commercialisation of publishing houses'. Non-open access journals usually go with high institutional or individual subscriptions [most of Universities in the South don't have financial muscles to deal with this]. The profits gained by publishing houses [e.g Routledge, Elsevier, Taylor and Francis, Blackwell John Wiley & Sons, Springer Science, USNAS] are enormous. The question that is being asked now is: how do these companies give back to science/research from their profits? If they are making billions out of selling 'science' to the world, they should surely give back some of the profits to keep science rolling. In reality, these publishing houses aren't giving back to science. That is why, these academics are calling for more open-access projects and publishing houses hosted by academics/academic institutions. More projects like PLoS, BioMed Central, Hindawi Publishing Corporation, SAGE [though it is also involved in non-open access publishing], MedKnow Publications etc. Of course, small subscription fees should be there to keep these publishing houses moving; and use some monies to give back to science through provisions of research grants, hosting academic conferences etc. What's your two cents? Nicholas I think you may have a point in some cases. I may agree with you on this: Tanzanians' contributions to scholarly debates is meagre. There are many reasons [some have been explained in this thread] for this. Mine is just what Mamdani called 'consultancy culture' in African academia. Again this is a result of many factors, one being lack of public funds for scholarly researches. These put African academics in a situation of having their researches 'influenced' and funded by corporations, international organisations, donor nations etc. They subsequently, get involved in doing research assignments of the funders; and not scholarly researches based on research problems [from academic point of view]. Such works are usually not 'publishable' in respected international peer-review journals. Though, saddening, it is what it is. Our COSTECH still has no financial mightiness to fund for scholarly researches. All the countries in the North have their 'COSTECHs' funded in billions of US$. Giving opportunities to their academics to engage in searching research problems [based on experimental, empirical and theoretical grounds], aiming at contributing to science and society [policy or practice]. The other thing, which is facing not only Tanzania, but also other South nations, is 'politics in the journal governance structures'. Most of the well respected journals are hosted in the North. Most of the journals' editors are also from the North. Even for the self-identified journals dealing with South's problems, northern scholars dominate in the editorial boards. I am being a realist here. It is such arrangements that give Northern scholars added advantage. In the academia, academic networks are almost priceless for one's adventure. It is almost impossible to excel without such networks. It is these networks that help 'them' to have upper hand in getting their papers accepted and published. It is evident too for Southern academics who have managed to publish on respected journals. They are literally part of the networks; for Southern academics who don't have 'links' with such networks, it's a tough venture for them. It is saddening, but that's how things work. Lastly, we have many Tanzanian academics and researchers publishing in well respected journals [with high impact factors]. I am aware of excellent works by them in the fields of: ecology and environmental sciences. They are mainly from SUA and some from UDSM. Though, not as high as South African or Nigerian academics, I'm proud of their works. NB: I have a mobile phone, so typos might be possible.
Excellent posting....nilikuwa najua kuhusu politics ktk hizo journals..sikutaka introdude kwa vile sikutaka influence watu kutafuta easy escape.Nimesoma sana mazingira ya Angel funders,na Venture capitalists na jinsi gani wanakutana na kufanya kazi na incubators, costech hawana convincing approaches au way to manetize inhouse projects,hata jinsi ya kuzaisha new projects .Zile akili za Sido na wengine kwamba wana kuwa na watu wanaowabeba kila mwaka ktk maonyesho wanachukua kazi zao kwenda onyesha..sasa zimechosha....nenda ktk maonyesho kila isku utakuta jico za mkaa,kuni kidogo hakuna mahali pa kuondoa kabisa kuni.Wala hakuna aliyekuja na njia rahisi ya kuweza zalisha kwa wingi hizi demo/nursery.Politics zina matter na zina msaada...ukitaka jua kuwa police ulaya..km huwezi fuata patterns za magaidi utapekuwa watu tangu asubuhi hadi jioni na wengine itabidi wachelewe...hata ktk hizo journals ktk members ni rahisi kujua profile za watu na rate of success,na how genuine kazi ya mtu imekuwa.Lazima element ya kuodoa expectation iwepo,otherwise nao pia wanatak punguza kazi y akupoteza muda ktk papers headaches na muda si rafiki sana.
 
Last edited by a moderator:
One more thing Nicholas you can use Google Scholars to narrow down your search. Use keywords such as Tanzania, Dar es Salaam and Morogoro, to find out papers written by Tanzanian academics. You might be surprised!
Ninao watz wengi ila hawakusoma hapa hizo PHD..na niliona their PHD drills.Ndio maana nikauliza hapa kwetu wanafanya vipi hadi watu wasio makini wanazidaka sana PHD na wakirudi wanaendelea na kukosa umakini km kawa.In fact these Tz who have accomplished these much in foreign lands have nothing to make us proud.Since they the more they distance themselves from our culture and education system the more they become potential.
 
Last edited by a moderator:
Excellent posting....nilikuwa najua kuhusu politics ktk hizo journals..sikutaka introdude kwa vile sikutaka influence watu kutafuta easy escape.Nimesoma sana mazingira ya Angel funders,na Venture capitalists na jinsi gani wanakutana na kufanya kazi na incubators, costech hawana convincing approaches au way to manetize inhouse projects,hata jinsi ya kuzaisha new projects .Zile akili za Sido na wengine kwamba wana kuwa na watu wanaowabeba kila mwaka ktk maonyesho wanachukua kazi zao kwenda onyesha..sasa zimechosha....nenda ktk maonyesho kila isku utakuta jico za mkaa,kuni kidogo hakuna mahali pa kuondoa kabisa kuni.Wala hakuna aliyekuja na njia rahisi ya kuweza zalisha kwa wingi hizi demo/nursery.Politics zina matter na zina msaada...ukitaka jua kuwa police ulaya..km huwezi fuata patterns za magaidi utapekuwa watu tangu asubuhi hadi jioni na wengine itabidi wachelewe...hata ktk hizo journals ktk members ni rahisi kujua profile za watu na rate of success,na how genuine kazi ya mtu imekuwa.Lazima element ya kuodoa expectation iwepo,otherwise nao pia wanatak punguza kazi y akupoteza muda ktk papers headaches na muda si rafiki sana.


Aaaaaagh

wewe bwana hii mada huna la maana unalojua. Kaa kimya. Sasa research, academics na angel investors/funders wapi na wapi?Sio primary task kufanya research monetization.wewe unachanganya normal product innovation with research.Shida yako ni kuwa, the whole thing s alien to you, that is why you keep putting your thoughts in an endless maze.

The rest of what you wrote has zero coherence.
 
Wewe kwa akili hii hata simplest robot is a way better employee kuliko wewe.....umefuka povu sasa umefail flat..sasa unaanza lia km Mkumbo....unaplay victim.Wakati umeingilia thread bila kukaribishwa ukaja cheza ngoma zako za uchi.Sasa hutaki watu wacheke makalio yako.


I probably wouldn't say anything if the thread was not full of incomprehensible assumptions made out of thin air.
 
Back
Top Bottom