Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

Kuna Prof mmoja MUHAS yeye ni Dr. wa meno amechukua vitabu vya mwenzie na kujifanya alimshirikisha ilhal yeye hayo masomo hakupitia, sasa hivi anafundisha postgraduate wa obs and gynae anatomy wakati yeye hajasoma fuu body anatomy ameishia kifuani. Huwa anajifanya yeye ndio the only Prof wa Anatomy in Tz wakati sio kweli. Hajaweka hata TA wa kumrithi kufundisha dental anatomy akiondoka kwa sababu anaelekea miaka sabini. Ukweli ni kwamba MUHAS hakuna Prof wa Anatomy MD
 
Mkuu,

kwa mara ya kwanza nimeona swala legit kabisa. This is a very good question. It seems kama watanzania tungekuwa tunauliza maswali Kama haya tusingekuwa tunachezewa akili na Hawa Watu wanaojiita wasomi. Kiukweli majority ya PHD holders wetu hawajaandika popote. Wengi ni wasanii tupu. Hata hao associate professors unakuta publications Zao ni kidogo mno na wamepublish kwenye journals za hapa hapa TZ ambazo kiukweli hawawezi kukataliwa. Wengi wanapenda kuitwa Dr? So and so lakini hawajui Kama it requires more to earn that title. The negative side ni kwamba hata watoto wetu tunawafundisha short cuts za maisha. Mf. Sijawahi ona msomi wetu hapa bongo kapublishi kweny journal ya uhakika Kama Harvard Law Review, Yearbook za ukweli....I mean Mifano ni mingi...huko kwenye medics, engineering nk. The point is journals Kama hizi mpaka paper yako ipite Uwe published........unajua kweli....I have earned that accolade. In all wabongo wengi wetu bado sana....ndo maana hata uprofesa wetu ni ujanja ujanja kwa kufahamiana.

again swala lako ni zuri sana.
Na kwa sa sa ni mwendo sa vyeti na kupata prefix tuu. Weledi baadae.
 
Kuna TWAWEZA sijui, kuna jamaa mmoja sijui mnyarwanda yule, maposi yake na sauti yake tuu, wananhu hucheka na kuulizia jinsia yake.
Nicholas, la kuhuzunisha zaidi hata number of citations kule Google Scholar kwa wasomi wetu ni chache kulinganisha na majirani. ...UG, KE, Zambia, Zimbabwe etc. Unajiitaje prof kutwa unazunguka kwenye TV na redio kutoa maoni kuhusu madiwani wa halmashauri ya USHETU sijui kudai posho Ziongezwe! Wakati mwingine hata BASHITE ana afadhali na gamba lake japo magumashi.
 
Nimejaribu sana kufuatilia PHD za US na Maprof wao..Aisee watu wanapigika sana paper zao kuwa published ktk journals za kueleweka.Watu wote wanapigika hadi wanaonyesha kiwango na weledi ndio wanapita.Si weupe,si wekundu,si wa njano na hata weusi..wengine hadi wanakimbilia kusema ni ubaguzi wa rangi..ila wakipita huwa wanaonyesha hiyo mambo haswa ktk real life.Hapa Bongo naona design km watu wanachukua tuu gamba..labda tuu km kuna siasa ndio zinawakwamisha.Kuna watu wa uchumi,Political science,vyuo vipya km vinapiga promo kwa staff wao fasta fasta fulani.Hivi kuna hizo journal ambazo haziwezi kuwa influenced kisiasa kweli?
Babu Sizonje kazivua nguo Ph.D za mwendokasi bongo kiasi hata vipofu wanaweza kuziona zilivyo tupu.

Inabidi zichutame tu kwa sasa.

Nyingine tutaziita Ph.D za fonti fedi.
 
wewe unazijua journals ngapi za maana?Je umepitia huko ukakosa wataalamu wa Kitanzania?
 
Let's say the University of Dar es salaam, have different journals in different fields eg, engineering, sociology, law etc and most of the published articles in those journals are simply summarization, or extensions in whatsoever way of the writers PHd or masters research, they really dont offer new things to the academic world rather its summary of their findings and not actually discoveries. And they know that none of the things that they write will be criticised, I opt to take my PhD In USA or UK. But in Tanzania a keen undergraduate can critisize a published article of a PhD holder or candidate
 
Let's say the University of Dar es salaam, have different journals in different fields eg, engineering, sociology, law etc and most of the published articles in those journals are simply summarization, or extensions in whatsoever way of the writers PHd or masters research, they really dont offer new things to the academic world rather its summary of their findings and not actually discoveries. And they know that none of the things that they write will be criticised, I opt to take my PhD In USA or UK. But in Tanzania a keen undergraduate can critisize a published article of a PhD holder or candidate
Sir/Madam Medicci,
Allow me to add some points as far as TZ academics' publication practices are concerned;
1. Most of TZ journals are still in hard copies so it's hard to trace or cite when writing/doing literature review on the topic which consequently negatively affect VISIBILITY of their respective universities when it comes to RANKING.
2. Most of academics r pre-occupied with non-academic activities to supplement the peanut they are getting from the BIG MAN himself.
3. There's no mechanism whatsoever to pressure academics to publish after PhD (you can decide to remain inactive till ur retirement date) and no one will ask you anything with regard to publication or writing proposal for grant at ur university.
4. TCU, mother of all universities r busy soliciting fund from her own children (universities) and general public through various unjustifiable fee & contributions eg. "Foreign Degree certification"
5. As a country, we did a grave mistake to introduce austerity measure to education sector (higher education). I can assure you. Not more than 3 yes from now you will see the impact.
** as i recall Mzee Jomo''s joke to Mchonga.....Julius! Back home ur leading milion of walking Corpses, decades later I came to realise Mzee Jomo was right. Poor Tanzanian universities, including so called Academic Staff associations, you name it.
 
Nilitegemea vyuo vikuu ndo vitutoe tongotongo kina sisi NGUMBARU kupitia tafiti zao na nafasi yao katika jamii. Lakin ndo vile tena njaa imetuponza. Wewe publish wenzako wanakula mahela ya bqkshishi, posho na mishahara minono kwenye mashirika mazito ya umma na wizarani.
 
Huko vyuo vikuu wametoka mpaka wakuu wa wilaya wenye PhD sawa na makada wenye Elimu ya Msingi daah. Tumeizika taaluma rasmi
 
Ku publish inategemea na mtu, wengi ma professor baada ya kumaliza chuo kapata phd haandiki tena anabaki anakula tu hela ya kufundishia
 
Ku publish inategemea na mtu, wengi ma professor baada ya kumaliza chuo kapata phd haandiki tena anabaki anakula tu hela ya kufundishia
Ndugu, pindi upatato PhD utaitwa Lecturer ukipublish ndo unakusanya points kisha unaomba kwa barua ukiambaranisha na machapisho yako ili wakufikirie kukupandisha. Labda ungesema wabongo wengi wakishaukwaa u-associate professor publications ndo bai-bai wakisubiria teuzi za ulaji kwa kusaini barua za ruhusa, likizo na kuhudhuria mikutano unayolipwa kwa kukaa na kuongea kidogo ( ikibidi) hukooo kunako. Mifano tunayo dhahiri.
 
Back
Top Bottom