Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

https://scholar.google.com/citations?user=6WanKo0AAAAJ&hl=en

Title1–20 Cited by Year
Teachers' Commitment to, and Experiences of, the Teaching Profession in Tanzania: Findings of Focus Group Research
KAK Mkumbo
International Education Studies 5 (3), 222
22 2012
The application of Intervention Mapping in developing and implementing school-based sexuality and HIV/AIDS education in a developing country context: The case of Tanzania
K Mkumbo, H Schaalma, S Kaaya, J Leerlooijer, J Mbwambo, G Kilonzo
Scandinavian journal of public health 37 (2_suppl), 28-36
18 2009
What Tanzanian parents want (and do not want) covered in school-based sex and relationships education
KAK Mkumbo, R Ingham
Sex Education 10 (1), 67-78
15 2010
Content analysis of the status and place of sexuality education in the national school policy and curriculum in Tanzania
KAK Mkumbo
Educational Research and Reviews
13 2009
Teachers’ attitudes towards and comfort about teaching school-based sexuality education in urban and rural Tanzania
KA Mkumbo
Global journal of health science 4 (4), 149
12 2012
Perceived University Students' Attributions of Their Academic Success and Failure
KAK Mkumbo, J Amani
Asian social science 8 (7), 247
12 2012
Prevalence of and factors associated with work stress in academia in Tanzania
KA Mkumbo
International Journal of Higher Education 3 (1), 1
8 2013
Parents' views and attitudes towards school-based sex and relationships education in rural and urban Tanzania
K Mkumbo, FD Tungaraza
Papers in Education and Development, 171-188
8 2007
Assessment of HIV/AIDS knowledge, attitudes and behaviours among students in higher education in Tanzania
K Mkumbo
Global public health 8 (10), 1168-1179
7 2013
What Tanzanian young people want to know about sexual health; implications for school-based sex and relationships education
KAK Mkumbo
Sex Education 10 (4), 405-412
6 2010
Adolescence and school learning
IM Omari, KAK Mkumbo
Dar es Salaam University Press
6 2006
An exploration of the psychosocial factors affecting the development and delivery of school-based sex and relationships education in Tanzania
KAK Mkumbo
University of Southampton
5 2008
Using concept maps to elicit and study student teachers’ perceptions about inclusive education: a Tanzanian experience
S Wormnæs, K Mkumbo, B Skaar, Y Refseth
Journal of Education for Teaching 41 (4), 369-384
2 2015
Drawing AIDS: Tanzanian teachers picture the pandemic. Implications for re-curriculation of teacher education programmes
L Wood, N De Lange, K Mkumbo
Perspectives in Education 31 (2), 1-13
2 2013
Content Validity of National Examinations in Assessing the Curriculum Objectives in Tanzania
KAK Mkumbo
Journal of Education, Humanities and Sciences
2 2012
Correlates of teachers' attitudes towards and comfort in teaching school-based sex education in urban and rural Tanzania
KAK Mkumbo
Papers in Education and Development, 57-76
2 2010
Students’ attitudes towards school-based sex and relationships education in Tanzania
KAK Mkumbo
Health Education Journal 73 (6), 642-656
1 2014
Factors Associated with Teachers' Motivation and Commitment to Teach in Tanzania
KAK Mkumbo
Journal of Educational Sciences and Psychology 3 (1)
1 2013
Reflections on the 2010 National Form Four Examinations in Tanzania: debunking the myths
K Mkumbo
Papers in Education and Development, 46-60
1 2012
Trends and Issues in Basic Education
K Mkumbo, Z Mgalla, R Shukia, B Kanukisya
Achieving Education for All: Dilemmas in System-Wide Reforms and Learning ...
Hamna kitu hapa kote hakuna kitu yenye maana...Nimecheka zaidi hapa. "Ethical consideration
Ethical clearance for this study was granted by the Ethics Committee of Dar es Salaam
University, the author’s institutional affiliation, as well as the Ministry of Education and
Vocational Training. The study followed basic ethical guidelines for research with
humans. Participants were thoroughly informed about the purpose of the study and told
that they were free to withdraw from the study at any time without consequence.
Furthermore, participants completed the questionnaire only after giving full consent."
 
Umeshawahi kuwa Editor wa scientific paper yoyote ya mtanzania ambayo inategemea kuwa published kwenye scientific journal
Ili nini sasa?Tatizo huwa mnauiliza maswali ya kipumbavu ndio majibu ya kipumbavu mnayoyapa yanawatosha sana.Si wewe tuu.Watendaji wote wa kitanzania katika idara mbalimbalia huwa wana maswali ya kijinga sana, na huwa wanategemea majibu fulani ya kijinga yakijibiwa wanafurahia ujinga wao.Kwani Editor ndio judge pekee?Msomaji ndio wa mwisho.Paper ngapi mmpepitishiana kijinga ,ila katika dunia wasomaji hawaoni cha maana?Hata CCM na wapuuzi wake huwa wanatupa katika madroo.
 
Mimi nina mashaka na nyinyi mnaohoji kama kweli ni watu makini. Mimi sina PhD wala sio Professor lakini nimesha publish paper zangu nne kama unataka kuzisoma zipo kwenye journals mbali mbali unachohitaji ni kujua aidha URL zangu au kama hiyo journal ipo open basi ingia kwenye internet alafu andika jina langu linalotumika kwenye citation unaanza na jina la ukoo likifuatia na jina la kwanza alafu jina la baba.
Kwanini usiwe na mashaka na wewe usiyehoji chochote unameza tuu ?Waswahili ndio maana kila mahali mnachosha.Mnaaminikina na wajinga wenzenu mliowadanganya na kuwalisha vipimo vibovu wanavyowapimia na kuridhika. CCM ilishaharibu mizania zote za ufahamnu wa binadamu katika vichwa na utamaaduni wa kitanzania.Kuanzia polisi,walimu,wanasiasa, wananchi, majeshi etc.Akili zenu ni kama mizani iliyochezewa.
 
Mmmh mkuu embu toa statistics.......Maana kuna wengi tuu pia wana publication kwenye internation journal
Kwanini usiziweke tuu hizo interenatianal ,ili na sisi tuzione na kuzipitia kama kuna cha kujivunia. Zisijekuwa ni lift za watu au zilizofanyiwa katika chuo cha akina Bana. Tafiti za kitila ni porojo tupu, tafiti za vitu obvious,na kupiitishwa kimaadili na UDSM. Kitila hana kipya zaidi ya watu wa kutega "CURRENT NEWS katika jamii ili kesho yake awaletee wanachotaka sikia " hakuna tofauti na vijarida vya bongo.
 
Nasubilia nione paper za Dr niki wa pili maana jamaa anajifanya pilato sana
Sio najifanya, nauliza vitu km ni ugoro wakale wenyewe.Kutumia paper na vyeti kuwa ndio leseni ya kutupiga kamba ianze kuwa ngumu kwao.
 
Kwanini usiziweke tuu hizo interenatianal ,ili na sisi tuzione na kuzipitia kama kuna cha kujivunia. Zisijekuwa ni lift za watu au zilizofanyiwa katika chuo cha akina Bana. Tafiti za kitila ni porojo tupu, tafiti za vitu obvious,na kupiitishwa kimaadili na UDSM. Kitila hana kipya zaidi ya watu wa kutega "CURRENT NEWS katika jamii ili kesho yake awaletee wanachotaka sikia " hakuna tofauti na vijarida vya bongo.
Nenda kwenye Scientific Journal utakutana na waandishi wengi tuu wa kitanzania......Journal of Agriculture Science, Journal of Climatology, Journal of Epidemiology, International Journal of Rural Development nakadharika.....my be ungesema labda ni Phd ya mtu fulani mbona haina publication ungeeleweka......
 
Hamna kitu hapa kote hakuna kitu yenye maana...Nimecheka zaidi hapa. "Ethical consideration
Ethical clearance for this study was granted by the Ethics Committee of Dar es Salaam
University, the author’s institutional affiliation, as well as the Ministry of Education and
Vocational Training. The study followed basic ethical guidelines for research with
humans. Participants were thoroughly informed about the purpose of the study and told
that they were free to withdraw from the study at any time without consequence.
Furthermore, participants completed the questionnaire only after giving full consent."
Wewe umesha publish paper ngapi kwenye scientific journal?
 
Ili nini sasa?Tatizo huwa mnauiliza maswali ya kipumbavu ndio majibu ya kipumbavu mnayoyapa yanawatosha sana.Si wewe tuu.Watendaji wote wa kitanzania katika idara mbalimbalia huwa wana maswali ya kijinga sana, na huwa wanategemea majibu fulani ya kijinga yakijibiwa wanafurahia ujinga wao.Kwani Editor ndio judge pekee?Msomaji ndio wa mwisho.Paper ngapi mmpepitishiana kijinga ,ila katika dunia wasomaji hawaoni cha maana?Hata CCM na wapuuzi wake huwa wanatupa katika madroo.
huwezi kusema kuwa huandishi wa mtu fulani hauna mantiki au haujaenda deep kama sio editor au kam hukusoma na kumjibu kwa kuandika paper inayo mcritisize.....otherwise ni bla bla
 
Wewe umesha publish paper ngapi kwenye scientific journal?
Kwani kupublic au kuto public kuna ninyima vipi haki ya kuuliza swali?Au kutakusaidia wewe na wenzio nini kujibu maswali ya msingi au kutakiwa onyesha kwamba nyie sio vilaza?
 
Nenda kwenye Scientific Journal utakutana na waandishi wengi tuu wa kitanzania......Journal of Agriculture Science, Journal of Climatology, Journal of Epidemiology, International Journal of Rural Development nakadharika.....my be ungesema labda ni Phd ya mtu fulani mbona haina publication ungeeleweka......
Mkuu kwanini usiweke Links hapa tuu.Blah blah zako hazina tofauti na watanzania wengine waoga wenye tabia ya kujibia watu maswali. Nyie ndie wale wajinga wakiona mtu kafunga shati vibaya kama wasira badala ya kujiuliza ilikuweje jamaa akajisahau hivyo, yenyewe inaanza kusema haiwezekani wasira atoke bila kujua kafunga sharti na koti vibaya.Eti kazoea kuvaa nadhifu ndio sababu na ushahidi wao. Weka links, tutazisoma tuone kama zina ubora, na je kwanini hazina link na uhasilia wa maisha yao ya kila siku.Link zako za Kitila mkumbo nimepitia fasta moja tuu niliyopitia nimeona HUGE GENERAZATION OF COMMON ISSUES, na stupid POLITICAL CORRECTNESS TEMPTATIONS. Hii ndio kawaida yao hata katika midahalo
 
Una dharau aise. Just Google Dr George masanja. Utasoma walau journal za wasomi Tanzania.
 
Mkuu kwanini usiweke Links hapa tuu.Blah blah zako hazina tofauti na watanzania wengine waoga wenye tabia ya kujibia watu maswali. Nyie ndie wale wajinga wakiona mtu kafunga shati vibaya kama wasira badala ya kujiuliza ilikuweje jamaa akajisahau hivyo, yenyewe inaanza kusema haiwezekani wasira atoke bila kujua kafunga sharti na koti vibaya.Eti kazoea kuvaa nadhifu ndio sababu na ushahidi wao. Weka links, tutazisoma tuone kama zina ubora, na je kwanini hazina link na uhasilia wa maisha yao ya kila siku.Link zako za Kitila mkumbo nimepitia fasta moja tuu niliyopitia nimeona HUGE GENERAZATION OF COMMON ISSUES, na stupid POLITICAL CORRECTNESS TEMPTATIONS. Hii ndio kawaida yao hata katika midahalo
Link ya nini wakati umeshatajiwa baadhi ya journal......daa balaa sana yaani unaonesha jinsi gani ulivyo kilaza ndugu yangu ata kusearch na kuprove kama watu wanafanya publication unataka uwekewe link.....kuna thousands of journal ambazo watanzania wameshafanya publication.....my be ungesema unataka publication za aina gani au za mtu fulani specific...........hahahahahahahha hatari sana
 
Kwani kupublic au kuto public kuna ninyima vipi haki ya kuuliza swali?Au kutakusaidia wewe na wenzio nini kujibu maswali ya msingi au kutakiwa onyesha kwamba nyie sio vilaza?
Hakuna anayekukata kuuliza swali....ndio maana ulipatiwa majibu
 
hahahahahahah hakuna anayemtetea mtu hapa....ila unapoleta hoja leta hoja yenye ukweli
Unadhani sijaleta hoja.Kwaninni wewe umesoma nini ukaanza changia?Thread nimeweka mimi.Hembu tulizana kama una akili timamu. KWANINI USI DEFEND HAO JAMAA WAKO STRAIGHT AWAY.WEKA LINK SIO KUTAJA MAJINA.WEKA PAPER ZILIZOKUFURAHISHA AU KUONA KWAMBA ZIPO WORTH IT KUWATETEA HAO JAMAA.WATU WAZIJADILI NA KUONA MEMA YA NCHI.KAMA KUNA MAPUNGUFU WASEME,NA MWISHOWE WATU WASEME TUELEKEE WAPI. Unajaza upuuzi wa watu waoga , wavivu na wajinga.Huwa wao kushambulia upande wanaodhani ni dhaifu kunawafanya wawe nao wakubwa,au wawe sahihi.
 
Link ya nini wakati umeshatajiwa baadhi ya journal......daa balaa sana yaani unaonesha jinsi gani ulivyo kilaza ndugu yangu ata kusearch na kuprove kama watu wanafanya publication unataka uwekewe link.....kuna thousands of journal ambazo watanzania wameshafanya publication.....my be ungesema unataka publication za aina gani au za mtu fulani specific...........hahahahahahahha hatari sana
Wewe mwehu sana,umekuja kuthibitisha halafu unataka ushahidi wako utafutwe kwa darubini.Akili za kitanzania, pa kutoa ushahidi wewe ndio una burden, mimi sioni haja ya kutafuta ushahidi ndio maana nimeweka hii thread hapa.Wanojua waweke vitu mezani.Ungekuja interview yangu wewe ningekutoa nduki sana.
 
Back
Top Bottom