Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

. Kaka Nicholas. Watanzania wapo wanaopublish kwenye journals nyingi tu duniani.Huwezi kuona publication hizo kama hutazitafuta.Hao anaowasema kimweri yaani ifakara ni mfano wa watanzania wanaojituma katika sayansi ukiachia na hali ngumu tuliyonayo.Kupublish katika scientific journals ni tofauti na kuandika hadithi za gwajima na kundecha,ni fani inayohitaji kwanza kufanya kazi za tafiti,kupata matokea na kwa ustadi kuyaweka maadishi hayo katika journals.
Kwanini ujifiche ktk nyingi km wababaishaji wengine,si ungandika tuu hata moja bila kuleta ubishi nje ya mada.Ni tabia yenu ku assume kwamba watu maarufu nchi by dafault wanajulikana ni wazuri, etc...nakutana sana watz wanapiga kelele kuwa sijui ZItto ni Mzuri,Sijui Chenge ni Mzuri,Sijui nani ni mzuri, ninapowabana waonyeshe ubora wao, watu huzunguka sana,kushutumu,huniita mwehu,mbishi,sijui najilinganisha na waomi,sijui nini na nini....mwishowe hujikuata walikuwa wakitumia tuu kwa propaganda zilizozagaa mitaani ila si kweli.Hata UDSM ina mengi sana yameanishwa ktk vichwa vya watz kuwa wataalamu wa udsm wana kila kitu standard...na ndio dira ya nchi.Kwa hao wtz kuchallenge UDSM ni km kujitangazia kuwa ni kichaa.
 
Mh. umeuliza swali gumu sana kwa Tanzania! Tanzania kila kitu ni siasa tu! Hata hizo PhD watu wengi wanazipata kirahisi bila ku-publish article hata moja! Unachotakiwa kufanya ni kuwa karibu na msimamizi wa thesis yako ili utakachoandika akubaliane nacho hata bila kusoma umeandika nini! Baada ya hapo atatuma kopi ya hiyo thesis yako kwa mtu fulani anayemfahamu (wao wanawaita external examiners) ili apitie na kutuma maoni yake ya uongo na ukweli. Baadae UDSM postgraduate officers watakagua kama thesis yako iko kwenye paper margins wanazozitaka kisha unapewa master au PhD yako unasepa, unaenda kutangaza picha za graduation facebook! Hebu jiulize Magufuli ali-publish wapi kazi yake kama si swahiba yake Akwilapo kumzawadia PhD! Tena afadhali hapo UDSM kiasi fulani watu hata kama hawa-publish lakini wanasota kiasi chake kupata hayo majibu ya uongo na ukweli ili kuandika fake dissertations (wao wanasema masters/PhD za kupikwa). Vyuo vingine vya Tanzania ni majanga kwelikweli! Chuo kibovu kuliko vyote kwa postgraduate studies TZ ni hicho kinachoitwa open university of Tanzania (OUT) - ni upuuzi mtupu hakuna kitu kipya mwanafunzi anapata pale zaidi ya vyeti kwaajili ya salary promotions! Hata vyuo vipya ni vichekesho TZ, niliangalia tovuti ya Nelson Mandela - Arusha Institute of Science and Technology. Nikakutana na list of publications, O O my God! Jamaa wanapublish kwenye journals za hovyo hovyo kabisa. Zile za wajasilia mali, unaweza kuziita wachapishaji wa uchafuzi wa tafiti (Research dirtiness publishers). Zile journals wanatoza publication charges kuanzia kama $50 mpaka $100. Hawasomi hata author(s) kaandika nini - wao ukishalipa hizo senti zao wanaweka huo uchafu online kwenye website yao. NM-AIST wanakiabisha chuo chao bora hata wasingeweka hiyo fake list of publications kwenye website ya chuo.
Hicho chuo nacho ni cha kisiasa..niliangalia jinsi wanavyokimbizana kuweka vyuo rafiki ,design km wanatala weka link tuu na kupata misaada zaidi kuliko kuwa serious partner.Sidhani km wanaweza vishawishi hivyo vyuo vyenye kufanya kazi na makampuni na mashirika ya ulinzi ktk kuja na tafiti zinazobadilishwa kuwa bidhaainayoyapa hayo makampuni egde over mengine ktk soko.
 
. Kaka Nicholas. Watanzania wapo wanaopublish kwenye journals nyingi tu duniani.Huwezi kuona publication hizo kama hutazitafuta.Hao anaowasema kimweri yaani ifakara ni mfano wa watanzania wanaojituma katika sayansi ukiachia na hali ngumu tuliyonayo.Kupublish katika scientific journals ni tofauti na kuandika hadithi za gwajima na kundecha,ni fani inayohitaji kwanza kufanya kazi za tafiti,kupata matokea na kwa ustadi kuyaweka maadishi hayo katika journals.
Eistein aliandika theories zake akiwa ktk dunia ambayo haikuwa na hivyo vifaa vya kuweza prove idea yake leo dunia inakimbizana kutest na kuprove na zimenyesha kuwa na uhasilia.Pengine ungejiuliza kwanini alifanikiwa bila kufanya hizo research...jamaa alikuwa mkweli na aliandika kitu alichokuwa akikijua na kuamini ktk logic na reasoning, akatumia mathematics zaidi kuepusha mahitaji ya labs.Watz ndio bado wanaogelea ktk defeatism ...ulichoandika hapa kinaonyesha unadhani unapingana na Thread ila kiuhasilia nusu ya chini inathibitisha hilo.Ndio tunataka jua km kweli wa TZ wenzetu hawaandiki hadithi za gwajima?
 
Mada nizuri ila naona kama vile mnahasira. In short simple statistics will show the ranking of Tanzania is very low and confirmed with little contribution in technology development if not nothing. To me the problem is may b mind- set back ya watu wengi ni kwamba research ambayo hupati hela za cha juu is not a research. Probably nature ya elimu haimotivate mtu kuwa curious. Why cant we assume we are in the era of Galilei or Newton and made discoveries by primitive tools made by themselves ambayo NASA kwa sasa wamevimprove na kutumika kwenye high tech? I do agree money to invest to sophisticated lab can motivate research lakini si kweli sana manake kunasehemu wanavifaa na hawajui wavitumiaje. I think many people are not motivated on discoveries. Kwa wenzetu discoveries ni motivation or applying principles to solve problems which benefit industries and society.
Hembu waambie...mojawapo ya uwezo wa mbunifu kwa wazo analolijua,ni kuweza kuwa na njia mbalimbali za kulifanyia tafiti, ni uwezo wa kujua hata kitu kinachoweza wakilisha uhasilia..ndio maana Newton alifanya test na kuassume Gravitational, air resistant etc ni negligible...kwa vile alijua zikitolewa nini kitatokea na zikiwepo nini kitakuwepo.hakuweza pata hizo vaccum au hata space yenye minimum of those externalities.Wabongo ni wahuni tuu...
 
Mtu anafanya kautafiti, methodologically invalid!!! Design ya study ndio kichekesho!! Vimechanganywa vitu humo mpaka unashindwa kuelewa alikuwa anafanya nini! Hafikirii sample size, no inclusion or exlusion criteria, selection ya sample ilikuwaje, level of significance ya results zake depending na study design aliyotumia, cha zaidi unaona results kwa percentage!!! Halafu anapewa PhD na U Professor!!!! Mtoa mada nakubaliana na wewe kabisa, kuna Realiable Journals ambazo mtu akipublish hapo unajua yuko vizuri, sio hivi vya kwetu vya mtaani......Of course mtu anaweza akasema kuna limited funding huku kwetu na Siasa ni zaidi ya sayansi (Research).....watu wako kisiasa zaidi!!!
Ndio shida nyingine....na mara nyingine hawapublish kwa vile walichoandika wamechomoa concepts ambazo hata hazifanani kutoka ktk hizo journals.Watz ni mabingwa wa kuchukua vipande vipande vya kazi za wengine na kuviweka pamoja km vyao,na mbaya zaidi huwa haviendani kihivyo,au hata wao hawaviamini kuwa ni true .Kushirikishwa kwao kunawapa nafasi ya kuongelea na kuliandikia wazo lilipo mezani...,ni rahisi sana kuonekana kuwa nao wapo level ya wengine ,kwa vile wameshirikishwa na njia walikuwa km wanafundishwa au wanatumika na wenye paper,na wenzetu lazima wakuweke tuu,ili kujengea wazo lao uhasilia ,,km malaria IFAKARAinaongeza uhasilia km ktk ground umerecruit watu kufanya ulicho design na kuweza wapa guideance ya kutosha..itaonyesha zaidi kuwa wazo na njia ulizotumia ni practical,na mazingira ya mbu ni ya kihasilia .Ila haimaanishi wale jamaa zaidi ya kushirikishwa wana jipya..na mbaya zaidi primary data ndizo wanatoa,ila wengine wanakwenda pata secondary data kwa mbinu ambazo hao ifakara hawajui...secondary data ndio itasema kwanini dawa za kawaida hazitibu malaria au nini kinaweza kuwa hidden kinachoweza let breakthrough.
 
Dah, Ndugu, yani unataka tufanye research za 15th century kwa kuwa tu tuonekane tunafanya research? yani tuendelee kulazimisha kuwa gravitational force is constant everywhere,newton's laws are valid, wakati tumeshafahamu kuwa kuna relativity?

Time changes, era changes, but No one is crazy enough to research on primitive ideas that have been proven obsolete just for the sake of it. Funding ya research duniani kote iko tied na ROI,that also has it's sway.So researchers have to work on topics that have not yet been solved before. No one will fund you to develop equations of motion in 2015.

Kama taifa halina GDP kubwa kuwa juu kwenye R&D ni ndoto za mchana, tuwe tunafikiria vitu realistic sio kukurupuka jamani.

Let's do simple things well then when we have that handled we can move ahead, by forcing to be experts in everything we come out as babies wanting to ride a bike while can't even stand up.

Kitu kingine, sio kila researcher duniani anafanya discoveries kubwa unazozifikiria wewe, discoveries are mostly accidental and rare, research is a very systematic excercise of solving complex problems by breaking them into very tiny solvable parts. Anyone who went though a PhD program would realise that, it does not matter how smart you are, you have to break down a complex problem and solve the part you are most interested with, that is why people are awarded PhD based on their Thesis titles and not based on their subjects. A researcher is very good at solving particular set of problems, and may be not good at all in solving other problems.

The very best researches are those that are ahead of their time and rarely receive immediate accolades, i have given an example of that.

The computer networks you are using now are using 1940's mathematics algorithms that were developed by mathematicians who were interested in solving a puzzle.Yes a puzzle.

The guys who solved the puzzle are surely dead, with zero accolades but left behind that one piece of puzzle everyone is thankful about.Examples are endless, do not discourage or lay blame on local researchers just because you do not see their impact right away.

Hahaha, wewe ni kiboko. Nilichosema ni kwamba there are a lot of problems still remained unsolved. I know most of big discoveries came accidentally but if they had your thought they wouldn't discover. There must be a force in order something to happen. Hata kwenye equation of motion yenyewe bado kuna mapungufu (the law haiexplain every thing) and thus why there still some people working on how to unify space and time in order to have a single equation that describe the universe, may be one day one will come up with something much better. Yani mifano yako nikiuvivu, no one is forcing to have expert but nature want us as Tanzanian to reach that, it is principle if you don't think big how can you reach high level of expertise, for sure no one will be expert of every thing but as a nation we can, oh yes we can.
Stop discourage people kwa kigezo cha realistic thinking. Hamna mtu aliesema kama PhD ni lazima agundue lakini ni step stone yakuelekea kwenye ugunduzi.
 
This. My heart sinks every time i successfully execute a project that could have been executed in Tanzania. Yes we have many things we can not achieve as a country because of our tiny economy, but we could do more. As a nation we spend too much to let brilliant Tanzania benefit other nations entirely. There is a certain percentage of benefits that comes back to TZ, but that percentage is smaller and its benefits shallower.
Sidhani sana...ninavyofahamu maprof wetu ni km data clerks au lab technicians...ni rahisi sana washirikisha ilihali muda mrefu wanakuwa km vile wamekuwa subcontracted project in parts.Mfano issue ya Ifakara..setup nzima ni wazo la wengine,na kuna specific data na test zinakwenda fanyika kule si kwamba ni mitamboa tuu..ila ndipo kuna main concept.Hizi initial tests zinapunguza kazi km tunavyobangua kahawa ili kupunguza uchafu kwenda ulaya,uchafu mwingine ndio unashikilia madawa tuliyopiga,au hata viwanja vya level hiyo vitachafua tuu mazingira na kupunguza umeme wao kule .Ila baada ya hapo tunashughudia vinywaji vya kupendeza toka majuu vyenye mchanganyiko wa tulicholima na kuprocess hapa.Ndio maana zaidi ya kulala kuhusu hela,kuna wengine wamefikia mahali pa kusema kuwa wameibiwa mawazo yao ,yanakwenda huko duniani halfu wanayapaka rangi wanakuja na ugunduzi wao.Lini technician akadai credits za engineer?
 
Binafsi nawajua maprofesa kama 10 hivi wa UDSM ambao wameandika vitabu (vingine vikitumika kama text books kwenye vyuo kadhaa Marekani) na machapisho mengine ambayo yalichapishwa kwenye majarida ya kimataifa, miradi ya UN, na kadhalika. Pia, wengine walishiriki hadi kuhariri vitabu, majarida, na presentations zao kwenye makongamano na mikutano mbalimbali ziliingizwa kuwa chapters za vitabu mbalimbali. Tatizo wote hao ambao nawajua mimi ni ama wameshastaafu na ni wazee sana sasa hivi au ni marehemu. Wengi wao walisomea shule za seminari halafu wakaenda Makerere kabla ya kwenda Marekani na Uingereza kwa shahada zao za juu. Hawa ndiyo walioipa sifa UDSM enzi hizo na kukifanya kuwa ni chuo cha kuheshimika na kilichovutia hata walimu wageni kuja kufundisha. Kipindi cha miaka ya 70 na 80 nakiona ndo kilikuwa 'the golden era' ya UDSM. Kuanzia miaka ya kati ya 90 kuja mbele, chuo kilianza kupoteza polepole ile sifa na heshima kilichojijengea. Sasa sielewi kwa nini siku hizi ni tofauti na zamani. UDSM wameshusha viwango vya mtu kuwa mhadhiri au...?
Nashukuru umeonyesha kuwa kuna shida kubwa kuanzia chini,na hizo semirary walisoma hao ambao sasa ni wazee zilisetiwa na wenzetu ktk nchi yetu bila longolongo ...Hao walipita na wengine wakaja ambao ni mavuno ya hao jamaa...ni mavuno ambayo ni dilute ya miaka hiyo..ambayo kila kizazi uafrica unameza elimu nakubakisha less % hadi tunabaki km tulivyo tukiwa chini ya uangalizi mdogo wa mataifa mengine.Ujamaa uliwekeza ktk propaganda na tafiti za kisanii ili kuproject image kuwa tupo mbali sana ..na huku hatufanyi chochote kuhakikisha kwamba tunachoproject masi mara kinafikiwa kwa ubora za juu.UDSM na wengine hawajashusha viwango ni kwamba wanaprogram wasomi wao kuwa masters za mawazo ya wengine....siku zote utasikia fulani ni mtaalamu sana kitu fulani.Ukimkuta huyo fulani utamkuta ni mzuri sana wa kurudiarudia technics,process, au hata terminalogies fulanifulani kwa viwango nyetu tunaona kuwa anajua kuliko hata walioleta hayo mawazoo_Obvious ukiandika concept ya mtu ambayo ndio current kwa weledi mpana hata huko US watakukubali kupublish vitu vyako as long as vitasaidia watoto kutumia..ila ktk core ya huo uandishi hakuna wazo jipya.
 
Hahaha, wewe ni kiboko. Nilichosema ni kwamba there are a lot of problems still remained unsolved. I know most of big discoveries came accidentally but if they had your thought they wouldn't discover. There must be a force in order something to happen. Hata kwenye equation of motion yenyewe bado kuna mapungufu (the law haiexplain every thing) and thus why there still some people working on how to unify space and time in order to have a single equation that describe the universe, may be one day one will come up with something much better. Yani mifano yako nikiuvivu, no one is forcing to have expert but nature want us as Tanzanian to reach that, it is principle if you don't think big how can you reach high level of expertise, for sure no one will be expert of every thing but as a nation we can, oh yes we can.
Stop discourage people kwa kigezo cha realistic thinking. Hamna mtu aliesema kama PhD ni lazima agundue lakini ni step stone yakuelekea kwenye ugunduzi.

You completely missed what i intended meant.And when i talk about realistic research, i know what i mean since i have more or so been doing that for a few decades.

Big complex problems require systematic approach to solving them, and a universally agreed approach has been breaking them into small manageable pieces. Acholades for research success in small systematic problems do not come fast because most of the time they require other experts to do their part of research and when everything is tied up together, people look back to see who made it all possible. Which is why just last year researchers who invented white LED were awarded Nobel Prize not for inventing LED, but for making the best iteration of LED that is both scientifically sound and commercially viable.How many people are working on LED research for the past 50 years. Thousands.Are their work irrelevant.Never, otherwise no one would ever cite the contributions of other papers in scientific research.

Usikariri PhD ni ugunduzi, Ugunduzi(invention) ni by product ya tafiti, na sio lazima uwe na PhD kufanya invention, ndio maana kwenye programming many coders do not have PhD but have been inventing a lot of useful tools over the years.

Usilete porojo kwenye kazi za watu, huwezi kwenda kwenye any serious research lab duniani ukaanza kuwaambia hadithi za ku-combine time with space, they will probably kick you out. Stop watching too many Hollywood movies and assume that is what happens in a research lab. Research is a laborious work, that involves a lot of thinking and heavy amount of work.

I am sorry to come out as harsh to you, but please refrain on describing things you have very little understanding of.
 
Juzi niliona tangazo mitaani , linasema kwa kuuandika thesis na paper aina yoyote kwa ajili ya masters au phd basi wasiliana nasi !!!!! Nilipigwa na mshangao kumbe watu wana nunua hivi vitu na baadae unamkuta jamaa mimi bwana nimesomaa enhee
Haha..tofauti na wengine ambao hata wakipewa wazo na kuandikiwa,utakuta wakishalijua wanajaribu sana kuangalia wapi wanaweza boresha au kufanya kwa namna yao ambayo ni rahisi zaidi.Na huko huwafikishia kuja na kitu kipya kabisa na chenye mabadiliko
 
Tusikimbilie tu kuwalaumu wasomi wetu kwa hoja ambazo hatujafanyia utafiti
Tafiti ipi sasa unataka iwekwe hapa ili tuweze uliza hili swali ktk thread?Michango ya watu umeiona na kuisoma.wengine ni wahusika kabisa..ila nao hawana cha kujitetea zaidi ya kusema sijui nani hajui wao ndio wanajua,ila hajaibu hoja kwa evidence..wanakuja sijui wameshirikishwa..na issue nyingine km za dalali wanapotaka kupangisha nyumba ambayo msimu za mvua ukuwa kisiwani...na wataalamu wetu hutuacha visiwani vipindi vigumu.
 
Sidhani sana...ninavyofahamu maprof wetu ni km data clerks au lab technicians...ni rahisi sana washirikisha ilihali muda mrefu wanakuwa km vile wamekuwa subcontracted project in parts.Mfano issue ya Ifakara..setup nzima ni wazo la wengine,na kuna specific data na test zinakwenda fanyika kule si kwamba ni mitamboa tuu..ila ndipo kuna main concept.Hizi initial tests zinapunguza kazi km tunavyobangua kahawa ili kupunguza uchafu kwenda ulaya,uchafu mwingine ndio unashikilia madawa tuliyopiga,au hata viwanja vya level hiyo vitachafua tuu mazingira na kupunguza umeme wao kule .Ila baada ya hapo tunashughudia vinywaji vya kupendeza toka majuu vyenye mchanganyiko wa tulicholima na kuprocess hapa.Ndio maana zaidi ya kulala kuhusu hela,kuna wengine wamefikia mahali pa kusema kuwa wameibiwa mawazo yao ,yanakwenda huko duniani halfu wanayapaka rangi wanakuja na ugunduzi wao.Lini technician akadai credits za engineer?


Samahani how long have you worked in High level research. Why are you describing things that are completely opposite of what they are and how they work?
You are comparing a full professor to a lab technician?are you NUTS? Unaelewa kinachoendelea kwenye clinical research, medical trials etc? Unafahamu IHI wanafanya nini? Yani na akili yako fupi unategemea clinical research, na medical trials za malaria zinafanyika London? unafahamu umuhimu wa clinical trials kwenye process nzima ya drug development?unajua kuna dawa ngapi zimegharimu mabilioni ya dola kwenye core research zinawekwa pembeni kwa kufeli kwenye clinical trials?Unawezaje kusema reseaerchers wanaohakikisha authenticity na professionalism ya clinical trials si lolote si chochote?

Sorry, it seems i am speaking to a layman. Endelea kufananisha Professors with lab technicians,na endelea kufananisha research methods na sub contracting works. You really are as empty as they come.
 
Tafiti ipi sasa unataka iwekwe hapa ili tuweze uliza hili swali ktk thread?Michango ya watu umeiona na kuisoma.wengine ni wahusika kabisa..ila nao hawana cha kujitetea zaidi ya kusema sijui nani hajui wao ndio wanajua,ila hajaibu hoja kwa evidence..wanakuja sijui wameshirikishwa..na issue nyingine km za dalali wanapotaka kupangisha nyumba ambayo msimu za mvua ukuwa kisiwani...na wataalamu wetu hutuacha visiwani vipindi vigumu.

Nimekuwekea tafiti hapo juu umekaa kimya kama huzioni sasa kelele za kuuuliza tafiti za nini?umeelezwa uende kwenye reputable medical journal ukapewa na keywords, umeenda? acha kudhani kila kitu ni chadema na CCM unaweza kuropoka tu na watu wakakuunga mkono blindly. You come out as someone who knows nothing yet pretend to know everything. Yani unaita research collaboration kuwa ni udalali?hivi wewe na akili zako fupi unadhani kufanya dunia ya leo kuna watu wanafanya research in Silo?

Ya ngoswe mwachie ngoswe.
 
Samahani how long have you worked in High level research. Why are you describing things that are completely opposite of what they are and how they work?
You are comparing a full professor to a lab technician?are you NUTS? Unaelewa kinachoendelea kwenye clinical research, medical trials etc? Unafahamu IHI wanafanya nini? Yani na akili yako fupi unategemea clinical research, na medical trials za malaria zinafanyika London? unafahamu umuhimu wa clinical trials kwenye process nzima ya drug development?unajua kuna dawa ngapi zimegharimu mabilioni ya dola kwenye core research zinawekwa pembeni kwa kufeli kwenye clinical trials?Unawezaje kusema reseaerchers wanaohakikisha authenticity na professionalism ya clinical trials si lolote si chochote?

Sorry, it seems i am speaking to a layman. Endelea kufananisha Professors with lab technicians,na endelea kufananisha research methods na sub contracting works. You really are as empty as they come.
Mkuu huyu jamaa nakurupuka tu
 
Mie nashangaa sana mtu anaporopoka kuwa PhD za Tanzania bomu!halafu ukitazama huyo mtu anayemtolea mfano hiyo PhD yenyewe hajawa awarded na Tanzania University. Chukulia mfano Kitila Mkumbo, his PhD was awarded in UK, by a very strong Russel Group University,University of Southampton. Leo hii anakuja mtu anaropoka kuwa PhD yake feki, kwa kuwa tu hapendi mitazamo yake au aina ya siasa anazofanya. Watu wanashindwa kutenganisha Siasa na facts. Kingine wasichojua wengi ni kuwa Most Academicians body of work is built over time, you can not judge a researcher 5-10 years removed from PhD completion, this person is still technically at junior-mid level of their carreers. Ni sawa na kumlaumu Mchezaji kama Herrera au Neymar kwa kutokuchukua Balon d Or. Kuna mchangiaji amesema wasomi wengi anaowafahamu wenye international accholades ni old guys and most of them are either retired or dead. Yes. That is one reality check about pursuing career in academics. People begin to know how good someone is long after their prime. As for UDSM i think it has pretty well rounded academicians at the time, its the university administration that should utilize them to the best of their capabilities. Another point someone raised about financial security is a huge elephant in the room. People's brains operate best when they are free of minor worries.sasa researcher hajui mwezi ujao ada ya shule atatoa wapi, unategemea akae chini 10 hours kufikiria kuhusu utafiti wake?na mshahara haukutani? it's humanly impossible.
Kwanini usiondoe ghadhabu ,na defense za haraka kabla hujajua hata shida ipo wapi .Face reality...sasa umeishia ongea vitu vinaumana umana sana.50-10yrs ktk filed nyingine ni karne na vitu vimeshapitwa na wakati. Kwa hiyo usitake sana singizia kuwa watu wapotezee years kujenge empire ambazo hapizo flexible na baadae kuwa chovu km UDSM.....hiyo habari ya kujua umuhimu wa mtu baada ya kufa haina sana msaada kwako...kuna vitu ni solution ya muda mfupi,inahitajika ktk soko mara tuu inapothibitika ina work.sasa kwanini asubiriwe mtu afe?Tofauti kazi ya mtu kuanza tumika kwa vile inawork na watu kumkubali kuwa kamshinda fulani au wote. ndio unapochanganya mbona ktk mifano yako ya Neymar kutochukua ballon Dior...hata km alikuwa ktk timu za ushindi,ila km kashirikishwa kuliko kushiriki inakuwa ngumu..na yeye mwenyewe anakubali kuwa Messi ni zaidi yake.Kuna kipi zaidi ya kukiri mahakamani kuwa umekosa? Pia hata hao waliozeeka ,kuna ambao kweli walipigika ktk vita ya kuweza shawishi paper zichapishwe...na wengine hata kufikia lia kuwa ni ubaguzi wa rangi ila mwishowe walifika.Ila kuna wengine walifnaya paper za UN na taasisi nyingine ambazo tayari kuwa wengine ndio walidesign kila kitu na kuwapa wao wafanye...hii unaweza ona ni issue ya Eng na Technian zaidi.
 
"Kwa mfano UDSM au chuo chochote Tanzania, hakina mfumo wa ulipaji mishahara kulingana na ubora wa tafiti za researchers wake. Pale nyote, so long as mnaitwa professors mtakuwa na mshahara mmoja. Uwe professor wa Kiswahili au professor wa medicine. ......" Kwa nini umeamua kutolea mfano profesa wa Kiswahili? Hizi dharau kwa wataalamu wa lugha yenu itawaisha lini? Kasumba imewajaa yaani mpaka inashangaza. Mbona usitolee mfano Profesa wa Kiingereza au Kifaransa? Au hawa ni bora kuliko Profesa wa Kiswahili? Afrika bado tuna safari ndefu sana na hawa wakoloni kweli walifanikiwa kututawala kisaikolojia. Unalikuta jitu linaelekea kutoa point na unaanza kujenga matumaini kwamba pengine linajielewa na kujitambua kidogo and then pfuuuu....
Mshahara si mara zote unasema ubora ingawa UDSM wana hivyo vitabia..huwa degree fulani wao huziita laini au namna wanavyojua...hiki ni chuo cha propagana na siasa...Na kelele kubwa kuliko wengine zinatumika kuhalali fikra potofu kuwa fact.
 
Ndio shida nyingine....na mara nyingine hawapublish kwa vile walichoandika wamechomoa concepts ambazo hata hazifanani kutoka ktk hizo journals.Watz ni mabingwa wa kuchukua vipande vipande vya kazi za wengine na kuviweka pamoja km vyao,na mbaya zaidi huwa haviendani kihivyo,au hata wao hawaviamini kuwa ni true .Kushirikishwa kwao kunawapa nafasi ya kuongelea na kuliandikia wazo lilipo mezani...,ni rahisi sana kuonekana kuwa nao wapo level ya wengine ,kwa vile wameshirikishwa na njia walikuwa km wanafundishwa au wanatumika na wenye paper,na wenzetu lazima wakuweke tuu,ili kujengea wazo lao uhasilia ,,km malaria IFAKARAinaongeza uhasilia km ktk ground umerecruit watu kufanya ulicho design na kuweza wapa guideance ya kutosha..itaonyesha zaidi kuwa wazo na njia ulizotumia ni practical,na mazingira ya mbu ni ya kihasilia .Ila haimaanishi wale jamaa zaidi ya kushirikishwa wana jipya..na mbaya zaidi primary data ndizo wanatoa,ila wengine wanakwenda pata secondary data kwa mbinu ambazo hao ifakara hawajui...secondary data ndio itasema kwanini dawa za kawaida hazitibu malaria au nini kinaweza kuwa hidden kinachoweza let breakthrough.


You are disgusting,speculative, uninformed and sorry to use this word but simple Stup*d.

A simple key wording in Microsoft academic research on Malaria work turns out many body work of IHI.

http://academic.research.microsoft.com/Search?query=malaria ifakara&start=11&end=20

http://academic.research.microsoft....-the-standardized-resting-boxes-and-the-human

So, if a Tanzanian Dr./Researcher who was educated at a top Medical School like Karolinska or Harvard or Dartmouth, is working at Ifakara, he automatically becomes stupid, because he/she is Tanzanian? Seriously?

Stick to BAVICHA, MAKAMANDA,MAANDAMANO,KUPAMBANA and CHADEMA Politics. Research is too intellectual and demanding for you to discuss about.
 
Mada ni nzuri sana, mnadhami nini kifanyike ili tutoke hapa tulipo? tusiangalie tulipoangukia bali kisiki tulichojikwaa. Je, bongo kuna journal ngapi ama zipi za kufanyia publication? ukiacha hizo za IHI, Ebola zingine zinahusu nini? link zao je? kwa bigina anayetaka kupublish anafanyaje? namna ya kuwa member nayo je? masaada tafadhari
Hawezi kwa vile mara zote wanapenda uza sura ktk single za wengine....kwa lugha ya wanamuziki wetu.Hizo ndizo zina vijihela na tayri zina miongozo nini kifanyike na kifanyike vipi.Unaweza ona kabisa,wenzetu wa Ghana,Nigeria na nchi nyingine wanakaribishwa ktk labs kubwa sana kufanya tafiti na hata uweza shwishi kupata fungu kubwa sana.Kuna funny hazihitaji hela kihivyo, mfano ktk uchumi,watu wanapata nobel, kwa kupitia data zilizojaa kuhusu chumi mbalimbali duniani na policies zao...wanazipitia wanaona patterns fulani ambazo ndizo zinawasaidia kudesign researches zao ambazo wanaweza shawishi WB,IMF kuzifanyia tafiti ktk nchi kadhaa.
 
You completely missed what i intended meant.And when i talk about realistic research, i know what i mean since i have more or so been doing that for a few decades.

Big complex problems require systematic approach to solving them, and a universally agreed approach has been breaking them into small manageable pieces. Acholades for research success in small systematic problems do not come fast because most of the time they require other experts to do their part of research and when everything is tied up together, people look back to see who made it all possible. Which is why just last year researchers who invented white LED were awarded Nobel Prize not for inventing LED, but for making the best iteration of LED that is both scientifically sound and commercially viable.How many people are working on LED research for the past 50 years. Thousands.Are their work irrelevant.Never, otherwise no one would ever cite the contributions of other papers in scientific research.

Usikariri PhD ni ugunduzi, Ugunduzi(invention) ni by product ya tafiti, na sio lazima uwe na PhD kufanya invention, ndio maana kwenye programming many coders do not have PhD but have been inventing a lot of useful tools over the years.

Usilete porojo kwenye kazi za watu, huwezi kwenda kwenye any serious research lab duniani ukaanza kuwaambia hadithi za ku-combine time with space, they will probably kick you out. Stop watching too many Hollywood movies and assume that is what happens in a research lab. Research is a laborious work, that involves a lot of thinking and heavy amount of work.

I am sorry to come out as harsh to you, but please refrain on describing things you have very little understanding of.

Dakitari Kimweri usijali kuwa harsh kwani hii nayo ni changamoto kwa wasomi. Anyway wewe wajua kila kitu, kwakuwa sipo hapa kujimarket wacha nikuache nafikira zako kuwa napiga projo 'I am talking things with my experience and not holwood movies kaka. Usifikiri watu wanapiga porojo hapa, tunajua pakupiga porojo, kila lakheri na Seniority yako.
 
Kwanini usiondoe ghadhabu ,na defense za haraka kabla hujajua hata shida ipo wapi .Face reality...sasa umeishia ongea vitu vinaumana umana sana.50-10yrs ktk filed nyingine ni karne na vitu vimeshapitwa na wakati.

Acha kudanganya watu wewe, application zinaweza kupitwa na wakati lakini core concepts are never outdated. Ngoja nikuulize, toka mwaka gani 1+1 jibu ni 2?kwa nini haijapitwa na wakati na kugeuka 10?

FYI, electromagnetism iliyovumbuliwa na MAXWEL 150 years ago, niyo hiyo inayotumika sasa na maboresho. Maxwell's equations tunachofanya kwenye Engineering ni kuzi-simplify, kina Scrodinger wamekufa na kuoza, hakuna kilichopitwa na wakati kwenye schrodinger equation. ndio equation inatumika Lab wakati quantum computers are pushing data at speed of light., computers that have been invented long after schrodinger died. You really know JACKSHIT ZERO about research.

Kwa hiyo usitake sana singizia kuwa watu wapotezee years kujenge empire ambazo hapizo flexible na baadae kuwa chovu km UDSM.....hiyo habari ya kujua umuhimu wa mtu baada ya kufa haina sana msaada kwako...kuna vitu ni solution ya muda mfupi,inahitajika ktk soko mara tuu inapothibitika ina work.sasa kwanini asubiriwe mtu afe?

Unaelezea ujasiria mali sio research. HAKUNA shortcut kwenye research. Kama zingekuwepo, dawa ya UKIMWI ingeshapatikana, maana miaka karibu 30 inaenda tiba haijapatikana, unafikiri researcher wa ukimwi hawapendi shortcut?yani wewe sijui huko shule mwalimu wako alipata shida kiasi gani.

Tofauti kazi ya mtu kuanza tumika kwa vile inawork na watu kumkubali kuwa kamshinda fulani au wote. ndio unapochanganya mbona ktk mifano yako ya Neymar kutochukua ballon Dior...hata km alikuwa ktk timu za ushindi,ila km kashirikishwa kuliko kushiriki inakuwa ngumu..na yeye mwenyewe anakubali kuwa Messi ni zaidi yake.Kuna kipi zaidi ya kukiri mahakamani kuwa umekosa?

Samahani sijasoma


Pia hata hao waliozeeka ,kuna ambao kweli walipigika ktk vita ya kuweza shawishi paper zichapishwe...na wengine hata kufikia lia kuwa ni ubaguzi wa rangi ila mwishowe walifika.Ila kuna wengine walifnaya paper za UN na taasisi nyingine ambazo tayari kuwa wengine ndio walidesign kila kitu na kuwapa wao wafanye...hii unaweza ona ni issue ya Eng na Technian zaidi.

Vita na ubaguzi wa rangi sio research usichanganye madawa. naona umeishiwa hoja unaanza kutanga tanga tu.have you noticed you have zero contribution when it comes to actually discuss research work?

You just push a few blames here and there and hope they stick
 
Back
Top Bottom