majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,351
- 4,026
Mange ni msomi nakumbuka miaka ya 2000 tulifanya nae kazi Stanbic kalikua kadada kapole sana most of time kamezubaasijui huu uchakaramu alijifunzia wapi
Baada ya kuonja bangi
Mange ni msomi nakumbuka miaka ya 2000 tulifanya nae kazi Stanbic kalikua kadada kapole sana most of time kamezubaasijui huu uchakaramu alijifunzia wapi
Tatizo ni kumjulia ukubwani huyu bipolar,wengi wao wamemjua wakati wa kampeni 2015, ndio maana wanamwabudu laiti wangalimjua tokea mwaka 2009 huko wasingekuwa wanapovuka hivi! Anyway akisema da'Mange kitu hakuna wa kupinga hahahah.Unajua nini LeMbebz.....hawa ‘Team Da’Mange Kasema’ ni majuha mno.
That's means hata wewe huwezi kumpinga Mange. Ndivyo nilivyokuelewa.Tatizo ni kumjulia ukubwani huyu bipolar,wengi wao wamemjua wakati wa kampeni 2015, ndio maana wanamwabudu laiti wangalimjua tokea mwaka 2009 huko wasingekuwa wanapovuka hivi! Anyway akisema da'Mange kitu hakuna wa kupinga hahahah.
Sasa unataka kumlinganisha Mange na Bashite? Kwa nini usikubali tu yaishe!?Hujaweka chanzo wala ushahidi.
Umesema tu.
Saying it so doesn't make it so!
Matola hivi kwanini hunielewagi Uncle "wangu maana ulishaniitaga we katoto cha 91" nilichokua nakimaanisha hapa ni kwamba majority ukijaribu kumkosoa Mange wanakujibu haka kamsemo "Da'Mange kasema"That's means hata wewe huwezi kumpinga Mange. Ndivyo nilivyokuelewa.
Acha kufuru wewe bibi, anayeabudiwa ni Mungu tu.
Sasa unataka kumlinganisha Mange na Bashite? Kwa nini usikubali tu yaishe!?
hili swali zuri kwa makamanda.na vuta kiti ni subiri makaraiWanajamvi napenda kujua elimu ya Mange Kimambi, mtu yeyote mwenye kufahamu Mange Kimambi ana elimu gani na amesomea fani gani kutoka chuo kipi naomba anisaidie hapa!
Kama kesi ni hiyo,kwa nini mnatumia vyombo vya dola kuihujumu Chadema? Kwa nini mnatumia bunduki kuwanyamizisha? Propaganda zingine...ni michosho tu!CHADEMA siku hizi hata hawaeleweki kabisa.
Kuna leadership crisis ndani ya hicho chama.
Even worse, huyo dada ni kama ndo de facto spokeswoman wa hicho chama.
Yeye ni matusi tu. That’s the only thing she’s good at.
Very sad to see CHADEMA go down the drains like this.
Na kinachonishangaza zaidi ni vile wanavyoamini kila anachokisema huku mengine yakionekana wazi ni matango pori!!CHADEMA siku hizi hata hawaeleweki kabisa.
Kuna leadership crisis ndani ya hicho chama.
Even worse, huyo dada ni kama ndo de facto spokeswoman wa hicho chama.
Yeye ni matusi tu. That’s the only thing she’s good at.
Very sad to see CHADEMA go down the drains like this.
Kasoma lakini hana tofauti sana na Dr. ShikaWanajamvi napenda kujua elimu ya Mange Kimambi, mtu yeyote mwenye kufahamu Mange Kimambi ana elimu gani na amesomea fani gani kutoka chuo kipi naomba anisaidie hapa!
Kwani DAB anavyodhalilisha wasomi yeye ameonesha vyeti??weka yako kwanza, then .....
University of Walong long si iko Dubai?... Ana ilmu kubwa sana huyu dada... Actually nilisoma nae Singapore alipokuwa anachukua masters ya umbea na udaku... Hana mume ila si mchoyo sana.. Na ni mkarimu tu.
Wanajamvi napenda kujua elimu ya Mange Kimambi, mtu yeyote mwenye kufahamu Mange Kimambi ana elimu gani na amesomea fani gani kutoka chuo kipi naomba anisaidie hapa!
we ni tisss.....si mtag insta muulize mwenyewe mkuu!!!.....mbona kujifichaficha jfUngenionyesha nini? College diploma yake yenye letterhead ya UDSM au transcript yake yenye letterhead ya UDSM?
Alianza mwaka gani hapo UDSM na akahitimu mwaka gani?
Alisomea fani gani hapo UDSM?
Akina nani walikuwa classmates wake hapo UDSM?
Kuna picha zenye kuonyesha siku akihitimu hapo UDSM?