LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,216
Mi sijui niseme nipo nyuma ya ratiba, Hakika Mi sijui. Naombeni mwenye majibu sawia anijuze tu!
Ratiba ya Katiba huku Mikoani inawafikiaje walengwa? Mi ningependa kumwona kila mtu anajaji na hila la Katiba.
Ama ndio utakuwa waraka wa M/kiti wa chama tawala?
Mi ckubaliani nayo hata punje!
Mwenye full data kuhusu mambo ya katiba naomwomba atujuze!
Nawakilisha JF Daima!
Ratiba ya Katiba huku Mikoani inawafikiaje walengwa? Mi ningependa kumwona kila mtu anajaji na hila la Katiba.
Ama ndio utakuwa waraka wa M/kiti wa chama tawala?
Mi ckubaliani nayo hata punje!
Mwenye full data kuhusu mambo ya katiba naomwomba atujuze!
Nawakilisha JF Daima!