Wana JF naomba msaada katika kujua haya mapato yanapimwaje? Eti Dodoma imekusanya Tsh 70Billion na ikawa ya kwanza alafu Dsm kwenye viwanda kibao eti mapato Tsh 50 Billion.
Nashindwa kuelewa kwani Dodoma kuna viwanda na vitega uchumi kuliko Dsm au Arusha hata Mwanza?
Nashindwa kuelewa kwani Dodoma kuna viwanda na vitega uchumi kuliko Dsm au Arusha hata Mwanza?