Makonda ameahidi kutoa mil. 10, kwa mwalimu, ambaye wanafunzi wake watafanya vizuri.
Makonda ameahidi kutoa zawadi ya gari aina ya Nissan Pick Up kwa Mwenyekiti wa Mtaa pamoja na pesa kwa wajumbe ambao mtaa wao utaongoza kwa usafi.
Makonda atangaza zawadi ya Milioni 1 kwa askari polisi atakayepambana na jambazi na kulishinda.
Makonda ameahidi kugawa pikipiki kwa bodaboda kwa marejesho ya sh. 25,000 kwa wiki.
Paul Makonda awapambanisha Christian Bella na Banana Zoro Kwa Mil 50 kila mmoja.
Makonda ameahidi kujenga makao makuu ya bakwata kwa bilioni 5 na milioni 80.
Makonda ameahidi mil. 100 kuwajengea viwanda machinga.
Makonda ameahidi pesa......
Mbali ya kuhoji anapozipata, hivi ndio kusema hana uwezo kabisa wa kushawishi wananchi kujiletea maendeleo yao hadi atumie pesa?
Najiuliza tu.
Makonda ameahidi kutoa zawadi ya gari aina ya Nissan Pick Up kwa Mwenyekiti wa Mtaa pamoja na pesa kwa wajumbe ambao mtaa wao utaongoza kwa usafi.
Makonda atangaza zawadi ya Milioni 1 kwa askari polisi atakayepambana na jambazi na kulishinda.
Makonda ameahidi kugawa pikipiki kwa bodaboda kwa marejesho ya sh. 25,000 kwa wiki.
Paul Makonda awapambanisha Christian Bella na Banana Zoro Kwa Mil 50 kila mmoja.
Makonda ameahidi kujenga makao makuu ya bakwata kwa bilioni 5 na milioni 80.
Makonda ameahidi mil. 100 kuwajengea viwanda machinga.
Makonda ameahidi pesa......
Mbali ya kuhoji anapozipata, hivi ndio kusema hana uwezo kabisa wa kushawishi wananchi kujiletea maendeleo yao hadi atumie pesa?
Najiuliza tu.