Shoga bibi yakoShoga upo kazini
Watu welevu hupongeza au kukosoa kulingana na issue yenyewe.Najua hakuna mtu wa cdm anayeweza SIFIA AU KUPONGEZA jitihada zaMakonda juu ya bodaboda coz ulikuwa mtaji mkubwa wa cdm kwa Dar ila kwa speed hii 2020 LAZIMA MAJIMBO yote Dar yarudi pia ili ndio tatizo letu kubwa Watanzania la kumpinga mtu mwenye nia ya dhati na mitazamo chanya ya kusaidia jamii,,sio kila ahadi mzazi anayotoa kwa mwanae ili afanye vizuri ama shuleni au popote uwa tunatekeleza kwa 100% so mwacheni kijana afanye kazi
Hivi huyu jamaa zile 100m alizoahidi kwa wamachinga pale k koo ni kutoka mfukoni mwake!, halmashauri!(if budgeted) au hazina!(if budgeted).
Km ni kutoka kwa baadhi ya wafanya biashara basi autangazie umma ili kuepusha mgongano wa kimaslahi kati yake na wafanyabiashara(mfanyabishara) hao/huyo.