Hivi Makao Makuu ya nchi ni Chato au Dodoma? Mzee anatuchanganya

Anapokuwapo rais ndiyo ikulu na majao makuu ya nchi. Au nasema uwongo ndugu zangu?
 
Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.

Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.

Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?

Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.

Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?

Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo

View attachment 1151860
Chimbo la Covid-19 lipo Dodoma au Chato?
 
Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.

Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.

Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?

Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.

Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?

Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo

View attachment 1151860
Sio vibaya kuwa na miji ya uhakika na mpangilo mzuri
Mataifa mengi wamejenga miji mipya na ya kisasa zaidi kama Saudia wanejenga mji tena jangwani kabisa itakuwa Chato na wanyama kabisa

Kama litapangwa vizuri kwa umakini na Kuweka kila kitu mbona sawa tu
Ni kila rais au rahisi ulikua unamaanisha nn?
 
Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.

Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.

Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?

Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.

Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?

Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo

View attachment 1151860
Utatekwa mkuu
 
Abiria haendeshi gari hiyo ni kazi ya dereva na aendeshapo abiria marufuku kumsemesha. Dereva kapitiliza kituo, ni jambo la kawada tu kumpitisha mtu kituo chake, mtu amepitishwa na yeye kaamua kuteremka huko ili atafute usafiri mwingine wa kurudi, mnamlaumu yeye badala ya dereva.
 
Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.

Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.

Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?

Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.

Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?

Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo

View attachment 1151860
Ni chato mkuu! Ulikuwa hujui!!!
 
Ukiona mtu fulani kakimbilia kijijini kwake, ujue kaikimbia Corona, imepamba moto.

Kuna kamtaa fulani kanaitwa Kajificheni Road sasa Chato imekuwa sehemu muafaka ya kujificha ili kumkimbia huyu Corona.
 
Hiyo Ni ziara binafsi...so Mambo binafsi hayatuhusu sana
Unazifahamu ziara binafsi au unaropoka kwa kuwa umeshiba na kuvimbiwa?

Ziara binafsi zinakuwa na ujumbe mzito wa kiserikali?

Au vyombo vyenu vya habari huwa vinatangaza uwongo kusema ziara ya kiserikali?
 
Kipi kigumu? Jembe yupo likizo lakini tambueni amiri jeshi mkuuhajawahi enda likizo ila mh Raisi. Hata kama yupo likizo lakini baadhi ya kazi kiitifaki lazima ziendelee. Na ndiyo maana makazi ya Raisi, makamu wa Raisi na w/mkuu kisheria lazima yawe yawe na hadhi fulani kwa gharama za serikali.
 
Back
Top Bottom