Aje na mafiatechnically,
kumbuka huyu ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ofisi,makazi ya rais ni ikulu na karibia kila mkoa na baadhi ya wilaya kuna ikulu rasmi hivyo anaweza kufanya kazi kutokea popote katika jamhuri hii ya tanzania. nakubali kukosolewa.
Chimbo la Covid-19 lipo Dodoma au Chato?Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.
Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.
Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?
Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.
Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?
Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo
View attachment 1151860
Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.
Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.
Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?
Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.
Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?
Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo
View attachment 1151860
Ni kila rais au rahisi ulikua unamaanisha nn?Sio vibaya kuwa na miji ya uhakika na mpangilo mzuri
Mataifa mengi wamejenga miji mipya na ya kisasa zaidi kama Saudia wanejenga mji tena jangwani kabisa itakuwa Chato na wanyama kabisa
Kama litapangwa vizuri kwa umakini na Kuweka kila kitu mbona sawa tu
Utatekwa mkuuSielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.
Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.
Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?
Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.
Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?
Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo
View attachment 1151860
Ni chato mkuu! Ulikuwa hujui!!!Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.
Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.
Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?
Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.
Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?
Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo
View attachment 1151860
Ukiona mtu fulani kakimbilia kijijini kwake, ujue kaikimbia Corona, imepamba moto.
Unazifahamu ziara binafsi au unaropoka kwa kuwa umeshiba na kuvimbiwa?Hiyo Ni ziara binafsi...so Mambo binafsi hayatuhusu sana
Ameeleweka, ni uandishi tuNi kila rais au rahisi ulikua unamaanisha nn?
YapYote ni Tanzania waje tu