Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Dodoma sio ikulu ndogo, ni hasara kujenga ikulu Dodoma kama geresha kwa kiki ya kisiasa!ShameKote kumbuka huyu ni rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania so kila mkoa anayo ofisi inaitwa ikulu ndogo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app