Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,215
- 7,906
Kama kichwa cha habari kinavyouliza, maana yake huwa naona Rais na Waziri Mkuu ndo wana mishemishe za utumbuaji.
Hata watumishi wa umma huwa hawana kimuhemuhe pindi wanapotembelewa na Vice President tofauti na wanapopata ugeni wa Prime Minister au President.
Tena hata Regional Commissioner na District Commissioner huwafanya watumishi wahahe kuliko Vice Presideng.
Hata watumishi wa umma huwa hawana kimuhemuhe pindi wanapotembelewa na Vice President tofauti na wanapopata ugeni wa Prime Minister au President.
Tena hata Regional Commissioner na District Commissioner huwafanya watumishi wahahe kuliko Vice Presideng.