kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,515
- 12,603
Hivi na huko watu huwa wanalala wanapata usingizi kama hapa kwetu Tanzania?
Watu huwa wanakaa vijiweni kama huku kwetu na kupiga story? Wanafunzi wanaenda shule? Viongozi wa Serikali wanaheshimiwa? Watu wanapendana kama hapa kwetu bongo?
Kuna mtu huko asiyemiliki bunduki au mabomu?
Watu huwa wanakaa vijiweni kama huku kwetu na kupiga story? Wanafunzi wanaenda shule? Viongozi wa Serikali wanaheshimiwa? Watu wanapendana kama hapa kwetu bongo?
Kuna mtu huko asiyemiliki bunduki au mabomu?