Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,672
- 28,970
Mzuka wanajamvi!
Serikali au wadau mbalimbali wakitoa data kuhusu upungufu ama chakula kuwepo wanatumia mahindi. Baa la njaa ikiikumba nchi mahindi yanatumiwa kama kipimo cha chakula pekee kuonesha kama kuna njaa au la. Tuna ona serikali kupitia wizara ya kilimo inanunua mahindi tu meengii nakuagiza mengine kuepusha njaa.
Sasa najiuliza mahindi peke yake ndio chakula cha Mtanzania anakula. Mbona serikali hainunui mazao mengine mengi? Pia vyakula vingine kwanini visitumike kwa kupima hali ya chakula nchini?
Kuna ngano, mchele na cereals zingine maharage n.k ambazo zinaliwa sana na Watanzania. Kwa nini iwe mahindi tu?
Serikali au wadau mbalimbali wakitoa data kuhusu upungufu ama chakula kuwepo wanatumia mahindi. Baa la njaa ikiikumba nchi mahindi yanatumiwa kama kipimo cha chakula pekee kuonesha kama kuna njaa au la. Tuna ona serikali kupitia wizara ya kilimo inanunua mahindi tu meengii nakuagiza mengine kuepusha njaa.
Sasa najiuliza mahindi peke yake ndio chakula cha Mtanzania anakula. Mbona serikali hainunui mazao mengine mengi? Pia vyakula vingine kwanini visitumike kwa kupima hali ya chakula nchini?
Kuna ngano, mchele na cereals zingine maharage n.k ambazo zinaliwa sana na Watanzania. Kwa nini iwe mahindi tu?