Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,162
- 12,640
Wakuu hivi hii ishu ya mahari siyo biashara ya utumwa kweli. Maana wazazi wanampa kijana binti kisha wao wanachukua ng'ombe, mashuka, mablanketi, pesa na vikorokoro vingine.
Bila kulipa hii mali huruhusiwi kuondoka na binti yao. Na siku nyingine ikitokea binti kateswa, akirudi kwao huwa wanamwambia kuwa tumeshakula mali ya watu, rudi kavumilie. Wengine wamefikia hadi kuozesha mabinti ambao hawajakomaa kisa wapate mahari.
Mahari ina tofauti gani na biashara ya utumwa/binadamu?
Bila kulipa hii mali huruhusiwi kuondoka na binti yao. Na siku nyingine ikitokea binti kateswa, akirudi kwao huwa wanamwambia kuwa tumeshakula mali ya watu, rudi kavumilie. Wengine wamefikia hadi kuozesha mabinti ambao hawajakomaa kisa wapate mahari.
Mahari ina tofauti gani na biashara ya utumwa/binadamu?