eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 310
Hivi niwaulize wadau wa JF,
Kwanini mtu unadaiwa ulipe mahari ndo uweze kuoa au kuolewa ni muhimu kwa pande zote.
Nilipata bahati ya kutembea na kuishi nchi nyingi na sijaona watu wakidaiwa mahari au michango ya harusi kwanini kwetu huku inakuwa ndio dili?
Hivi wanaume wakigoma kulipa mahari ndoa hazitokuwepo? Tunajifanya tunapenda kuiga mbona hatuigi hili.
Tunapendana tuoane na harusi tugharamie wenyewe. Kwani huko mbele kama ni raha au shida ni zenu wenyewe.
Tusipende ujinga.
Kwanini mtu unadaiwa ulipe mahari ndo uweze kuoa au kuolewa ni muhimu kwa pande zote.
Nilipata bahati ya kutembea na kuishi nchi nyingi na sijaona watu wakidaiwa mahari au michango ya harusi kwanini kwetu huku inakuwa ndio dili?
Hivi wanaume wakigoma kulipa mahari ndoa hazitokuwepo? Tunajifanya tunapenda kuiga mbona hatuigi hili.
Tunapendana tuoane na harusi tugharamie wenyewe. Kwani huko mbele kama ni raha au shida ni zenu wenyewe.
Tusipende ujinga.