tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,809
- 15,059
Wakuu,kama kuna anaeelewa anielimishe,kwanini katika kila taasisi inayomilikiwa na Serikali,iwe shule,chuo au hata sherehe yoyote inayoandaliwa na Serikali, basi utakuta mboga kuu na rasmi ni maharage?Huwa najiuliza hivi maharage yalipitishwa lini kuwa mboga kuu ya Serikali?