Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Miaka ya 2003 Mh Pombe magufuri alikuwa na na kesi na jamaa mmoja alikuwa anamdai m300, jamaa alikuwa anatumwa kwenda kulamba 10% tanroards, sehemu kibao tu, kesi waliombwa waitoe mahakamani na kuimalizia nyumbani, baada ya hapo alimwambia atamlipa 100m na asimfuate tena jamaa akakataa, mpaka hapo sijui kama alimlipa hizo m300 au ilikuwaje, mwenye kujua zaidi amwage hapa wakuu, maana ilitokea mpaka jamaa alishinda sijui wanaita zabuni ya kuendesha bus stand ya NZEGA lkn Mh Pombe akachakachua maana ndo kesi ilikuwa inaiva.....
Sio tetesi ni kweli na namjua jamaa for a long time ila siku hizi simsikii na sijui alipo.
Sio tetesi ni kweli na namjua jamaa for a long time ila siku hizi simsikii na sijui alipo.