Hivi Magufuli yupo sahihi au waliomtangulia ndio walikuwa sahihi katika mifumo ya uongozi!?

jitwangabalogi

JF-Expert Member
Aug 8, 2018
329
385
Salaam wakuu...

Ndugu yenu nipo njia panda, nashindwa kujua Kati ya maraisi waliopita na mifumo yao ya uongozi waliouacha na rais aliyepo sasa na mifumo yake... Je waliopita walikuwa sahihi au huyu aliyepo sasa ndie sahihi!?
Maana naona hii panga pangua ya mkuu kila kukicha ni tatizo LA mifumo yake na aliyoikuta, sijui kama atafanikiwa au atafeli... Sijui... Ngoja niendelee kutazama, lakini swali LA msingi je rais Magufuli na mifumo yake je yupo sahihi au waliomtangulia ndio walikuwa sahihi!?
 
Wote wapo sahihi kwasababu walio pita walifanya kadri ya walivyo weza na kwa wakati wao walifanya sahihi na vizuri.
Pia Magufuli yupo sahihi kwasababu yale yote anayo yafanya yanaendana na wakati husika ambau ni huu, na hakuna wa kumkataza kwasababu yeye ndie mwenye mamlaka.
 
Yesu akawajibu, “Nendeni mkamweleze Yohana yale mnayo sikia na kuona: vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema. Amebarikiwa mtu ambaye hapotezi imani yake kwangu.”

Matayo 11:4-6
 
Yesu akawajibu, “Nendeni mkamweleze Yohana yale mnayo sikia na kuona: vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema. Amebarikiwa mtu ambaye hapotezi imani yake kwangu.”

Matayo 11:4-6

Acha kukufuru tafadhali. Ni dhambi isiyo sameheka kumfananisha Yesu ambaye kimsingi sisi Wakristu na Waumini wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume, tunamchukulia kama Mungu Mwana; na hivyo vitu vya kijinga.

Yaani mtu aliyeshindwa hata kuthamini tu haki za watu wengine, umfananishe na Yesu ambaye tunamtambua kama Mkombozi wa Ulimwengu? Hakika wewe ni kizazi cha nyoka na huyo mungu wako unayejaribu kumtukuza.
 
Acha kukufuru tafadhali. Ni dhambi isiyo sameheka kumfananisha Yesu ambaye kimsingi sisi Wakristu na Waumini wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume, tunamchukulia kama Mungu Mwana; na hivyo vitu vya kijinga.

Yaani mtu aliyeshindwa hata kuthamini tu haki za watu wengine, umfananishe na Yesu ambaye tunamtambua kama Mkombozi wa Ulimwengu? Hakika wewe ni kizazi cha nyoka na huyo mungu wako unayejaribu kumtukuza.

Bora kama haujaelewa uulize ndugu yangu. Hakuna mtu naweza mfananisha na Yesu Kristo, ungejitahidi kufikiria kwanini nimeweka hilo andiko hapo.
 
Acha kukufuru tafadhali. Ni dhambi isiyo sameheka kumfananisha Yesu ambaye kimsingi sisi Wakristu na Waumini wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume, tunamchukulia kama Mungu Mwana; na hivyo vitu vya kijinga.
Yaani mtu aliyeshindwa hata kuthamini tu haki za watu wengine, umfananishe na Yesu ambaye tunamtambua kama Mkombozi wa Ulimwengu? Hakika wewe ni kizazi cha nyoka na huyo mungu wako unayejaribu kumtukuza.
..........YATOSHA"
 
Salaam wakuu...

Ndugu yenu nipo njia panda, nashindwa kujua Kati ya maraisi waliopita na mifumo yao ya uongozi waliouacha na rais aliyepo sasa na mifumo yake... Je waliopita walikuwa sahihi au huyu aliyepo sasa ndie sahihi!?
Maana naona hii panga pangua ya mkuu kila kukicha ni tatizo LA mifumo yake na aliyoikuta, sijui kama atafanikiwa au atafeli... Sijui... Ngoja niendelee kutazama, lakini swali LA msingi je rais Magufuli na mifumo yake je yupo sahihi au waliomtangulia ndio walikuwa sahihi!?
Pamoja na makosa madogomadogo, waliotangulia waliongoza Serkali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na watu wake kwa mujibu wa Katiba, Sheria, Taratibu na Sera. Awamu hii ni Tanzania ya Magufuli, Serkali ya Magufuli, wananchi wake na mawazo yake jinsi yanavyomjia siku kwa siku. Tofauti hii ndo ina-determine mafanikio ya viongozi waliopo na waliopita. Mafanikio ya waliopita yanaonekana na manufaa wananchi wamepata, ya waliopo yanasikika tu labda manufaa yatapatikana ufalme ukija toka mbinguni.
 
Yesu akawajibu, “Nendeni mkamweleze Yohana yale mnayo sikia na kuona: vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema. Amebarikiwa mtu ambaye hapotezi imani yake kwangu.”

Matayo 11:4-6
Hebu acha kukufuru bhuaana
 
Salaam wakuu...

Ndugu yenu nipo njia panda, nashindwa kujua Kati ya maraisi waliopita na mifumo yao ya uongozi waliouacha na rais aliyepo sasa na mifumo yake... Je waliopita walikuwa sahihi au huyu aliyepo sasa ndie sahihi!?
Maana naona hii panga pangua ya mkuu kila kukicha ni tatizo LA mifumo yake na aliyoikuta, sijui kama atafanikiwa au atafeli... Sijui... Ngoja niendelee kutazama, lakini swali LA msingi je rais Magufuli na mifumo yake je yupo sahihi au waliomtangulia ndio walikuwa sahihi!?
Kila zama na vitabu vyake
Tatizo umepata akili zama hizi za Magufuli,Hata Mkapa aliondoa watu wote wa Mwinyi na mfumo wake,vile vile Jk
 
Salaam wakuu...

Ndugu yenu nipo njia panda, nashindwa kujua Kati ya maraisi waliopita na mifumo yao ya uongozi waliouacha na rais aliyepo sasa na mifumo yake... Je waliopita walikuwa sahihi au huyu aliyepo sasa ndie sahihi!?
Maana naona hii panga pangua ya mkuu kila kukicha ni tatizo LA mifumo yake na aliyoikuta, sijui kama atafanikiwa au atafeli... Sijui... Ngoja niendelee kutazama, lakini swali LA msingi je rais Magufuli na mifumo yake je yupo sahihi au waliomtangulia ndio walikuwa sahihi!?
Kila zama na kitabu chake.
 
Umenena vyama... lakini swali je!? Zama hizi na kitabu hiki vinaendana!?
Mkuu hukusoma literature wewe
Huo msemo maana yake hicho kitabu ndio zama zake wether vinaendana au la,tafsiri ni pana mno,umepewa jibu la swali lako unatanua goli
 
Magu yuko vizuri kwa anavyofanya sasa, na waliomtangulia walikuwa vizuri kwa style waliyoitumia kwa kipindi kile.
Kila jamabo na wakati wake kulingana na:-

# Mazingira ya kisasa
# Aina ya uchumi tunaouendea

Kwa hiyo huwezi kung'ang'ania style walizotumia wengine hata kama zilifaa kipindi chao..unaposikia siku hizi nidhamu imerudi kwa Watumishi wa umma basi ujue ni pamoja na njia anazozitumia Magu za teua na kutengua ili wasijione ndo wamemilikishwa madaraka..
 
Ccm ni ileile na hatuwezi kufika popote. Najiuliza hayo mapesa ya reli, stigla goji, na madege yangetumika kuboresha makazi yetu, na hali zetu nadhani hata magonjwa yangepungua.

Jenga nyumba bora za nhc watu wakakae, boresha miundombinu ya barabara, shule na mazahanati kwa spidi Siyo zahanati mbili tunaenda kupiga nazo picha.

Magufuli anaangushwa na sera za kiuchumi za chama na wasimamizi wake ambao kwa kiwango kikubwa ni wachumia tumbo.

Hitimisho, Magufuli to me YES, ccm BIG NO
 
Back
Top Bottom