Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Huyu roho yake anaijua mwenyewe
Hili nalo neno.Kama alishindwa kumsaidia dada yake hata kusakafia nyumba, atawezaje kuwasaidia wasio wa nasaba yake?
Ana roho mbaya sn huyu mzeeMkuu unachokiwa nami nilishawahi kukiwaza, ni kweli kabisa
Yani huyu jiwe angekuwa Rais wa Taifa kubwa dunia ingepata tabu sana
Hijui serikali yako inapanga Bajeti inayotegemea hela za wahisani miaka 60 baada ya uhuru?Yaani mawazo yako ni kupewa hisani tu kua makini kijana tumbo liliponza kalio!
Hijui serikali yako inapanga Bajeti inayotegemea hela za wahisani miaka 60 baada ya uhuru?
Wala asingejulikana kabisa only in TZAsingeweza kutawala kwa utawala wa haki na sheria.
Ombaomba nyie!!Miaka mitano hao mabeberu hawachangii je watu wamekufa ondoeni udhaifu wa moyo tumbo liliponza kalio!
Zile ulizo ulizwa za korona zilitoka wapi?Miaka mitano hao mabeberu hawachangii je watu wamekufa ondoeni udhaifu wa moyo tumbo lilip
onza kalio!
Ombaomba nyie!!
Yule aio waingiza bungeni covid19 kwanguvu hataki hisani?Mleta mada anaakisi anavyopenda hisani mpaka kafungulia uzi!
Nashangaa hapa wanaosem.asingeweza kam.hayo kafanya hiv wabong.tunann jaman
Eti msaada DRC kwa kuwalinda?!! Unajua kitita cha dora tunazopokea kutokana na kuwepo wajeda huko?Nafikiri aliwapa msaada Msumbiji walipopata majanga, tunawapa msaada DRC kwa kuwalinda, South Sudan kuwapa wataalamu wetu, Comorro to keep law and order intact.
Tanzania pamoja na kasoro zake, uwezo wake, ni nchi inayojari jirani, kuliko nchi nyingi duniani.
Eti msaada DRC kwa kuwalinda?!! Unajua kitita cha dora tunazopokea kutokana na kuwepo wajeda huko?
Hujamuelewa mwenye mada! Hao wote ni masikini wenzakeNafikiri aliwapa msaada Msumbiji walipopata majanga, tunawapa msaada DRC kwa kuwalinda, South Sudan kuwapa wataalamu wetu, Comorro to keep law and order intact.
Tanzania pamoja na kasoro zake, uwezo wake, ni nchi inayojari jirani, kuliko nchi nyingi duniani.