wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Hili swali nimeulizwa na madogo hapa kota ninakokaa baada ya helikopta kupita chini chini wakawa wanaishangilia ndipo alipotoka dogo mmoja akaniuliza helikopta inatumia mafuta gani?
Nilitaka kumjibu diesel au petrol nikajikuta namumunya maneno bila kutoa jibu sahihi..
Naomba kujizwa wakuu
Nilitaka kumjibu diesel au petrol nikajikuta namumunya maneno bila kutoa jibu sahihi..
Naomba kujizwa wakuu