GAGL
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 390
- 395
Magazeti jana yameripoti kuwa serikali imeridhia matumizi ya GMO, huku ikisema kuwa nchi kama marekani, south africa na nyingine tayari wanatumia teknolojia hiyo. Hivi na ardhi yenye rutuba tuliyonayo, kuna ulazima wa kuingia kwenye hatari hii ya kuharibu asili yetu jamani eti kwa kuwa nchi kama marekani wanafanya hivyo?