PLATO MAGELE
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 203
- 54
Hivi jamani madini kama dhahabu, almasi, shaba, chuma n.k. yalipatikanaje hapa duniani?(i.e. How were/are they formed?). Maana Nchi kama Tanzania ina dhahabu, almasi, uranium na madini mengine mengi tu, ndio tuseme Mungu ametupendelea au kuna namna fulani ambayo haya madini yanapatikana.