Mbassa jr
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,234
- 3,169
Habari wana jf
Hili swala nimekuwa nikijiuliza mara nyingi na ni kwasababu sijawahi kushuhudia madawa ya kulevya (unga) ukiteketezwa hadharani kama vilivyo vitu vingne hatarishi kama bidhaa zilizopitwa na wakati,mashamba ya bangi kuchomwa moto na wakati mwngne hadi na silaha haramu pia huchomwa moto hadharani!
Lakini kwanini sio madawa ya kulevya?? Je huwa yanapelekwa wapi baada ya kukamatwa ?? Ama serikali kuna mapato inaingiza kwa kuyauza kwa wazee wa unga?? Na kama sivyo huwa wanayateketezaje????
Nawasilisha.
Hili swala nimekuwa nikijiuliza mara nyingi na ni kwasababu sijawahi kushuhudia madawa ya kulevya (unga) ukiteketezwa hadharani kama vilivyo vitu vingne hatarishi kama bidhaa zilizopitwa na wakati,mashamba ya bangi kuchomwa moto na wakati mwngne hadi na silaha haramu pia huchomwa moto hadharani!
Lakini kwanini sio madawa ya kulevya?? Je huwa yanapelekwa wapi baada ya kukamatwa ?? Ama serikali kuna mapato inaingiza kwa kuyauza kwa wazee wa unga?? Na kama sivyo huwa wanayateketezaje????
Nawasilisha.