hivi madalali wanatambuliwa na serikali ,je hulipa kodi?

augustino ameri

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
267
57
kuna watu wengi wanaofanya kazi ya udalali wengine wana ofisii zimeandikwa dalali wa vyumba,wa viwanja,wa nyumba wa mashamba wa mazao.Pia wengine hawana ofisi lakini ni wadau wakubwa na wanamaeneo yao ,ningependa kujua hivi hawa hulipa kodi?
 
Madalali hulipa kodi ya Mapato kwa kadiri wapatavyo faida, nenda pale mavuno house kaombe Vitabu vya mahesabu vya Yono Action mart au majembe uone jinsi walivyo walipaji wazuri, kama unazungumzia wale wa uswahilini ni vigumu sana kukusanya kodi na moja ya sifa ya kodi yeyote ni kuhakikisha gharama za kuisaka hiyo kodi iwe ndogo kuliko mapato ya Kodi yenyewe!
 
kuna watu wengi wanaofanya kazi ya udalali wengine wana ofisii zimeandikwa dalali wa vyumba,wa viwanja,wa nyumba wa mashamba wa mazao.Pia wengine hawana ofisi lakini ni wadau wakubwa na wanamaeneo yao ,ningependa kujua hivi hawa hulipa kodi?
Kama kuna sehemu serikari inapoteza mapato basi ni kwenye Udalali kwani madalali wanapata pesa nyingi na Kama wangekuwa wakilipa kodi hakika serikari ingeongeza pato jingine kubwa na kuinua uchumi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom