Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,258
- 5,560
Hata ivyo yani mpaja tumbo limeniuma
Ni tuvidole tu.. Tuvidole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tuvidole tu.. Tuvidole
Pole Sana jiandae kisaikolojia kwa loloteHata ivyo yani mpaja tumbo limeniuma
Lahaulaaaa!!!!Nina rafiki yangu alinieleza aliamua kusomea udakitari ili afaudu nyapu za wamama na anasema mwanamke akifika kwake lazima amlaze kwanza katika kale kakitanda amkague ndo aridhike hata ashike vuzzi to kwake kwatu.
LooohNina rafiki yangu alinieleza aliamua kusomea udakitari ili afaudu nyapu za wamama na anasema mwanamke akifika kwake lazima amlaze kwanza katika kale kakitanda amkague ndo aridhike hata ashike vuzzi to kwake kwatu.
Vidole vinaingizwa kwa mimba ya miezi mingapiKweli hiyo kitu inakera halafu midole inauma balaa.. ila hakuna jinsi maana ndio njia ya kujua cm ngapi mama kafunguka ili wamsaidie kuzaaa na kama haijafunguka zaidi wamfanyie operation. Kuwa mama kunahitaji kujitoa sadaka kama hivyo kuvumilia vidole japo tunakereka.
audacious mtafute mbadala wa vidole kama vipi
Ukikaribia kujifungua.. wanapima njia ya mtoto kupitaVidole vinaingizwa kwa mimba ya miezi mingapi
Hautishwi mdogo wangu. Tena Yakikufika ndio utakwenda kupanda mwenyewe kitandani na kuomba wakupime kama njia imeshafunguka ili uende kunakohusika ukamshushe mwanao.Mnatutisha ambao hatujazaa. Mikono ya mwanaume nisie na mahusiano nae jamani aaaaghrrrr
Mbona uncle anawish kuwa igp na mimi na wish kuwa dr.Wananchi tuheshimiane kwenye taaluma zetu. Kama unaona tunafaidi Sana. Soma na wewe.
Mkuu hii ni kweli ama chai?
KabisaKweli hiyo kitu inakera halafu midole inauma balaa.. ila hakuna jinsi maana ndio njia ya kujua cm ngapi mama kafunguka ili wamsaidie kuzaaa na kama haijafunguka zaidi wamfanyie operation. Kuwa mama kunahitaji kujitoa sadaka kama hivyo kuvumilia vidole japo tunakereka.
audacious mtafute mbadala wa vidole kama vipi
Ni vidole viwili tuu ndugu usipanicVidole viwili vina urefu gani kupima njia ? We shamba tu kama hujui si umyuti ? Mkono na sio vidole
Wananchi tuheshimiane kwenye taaluma zetu. Kama unaona tunafaidi Sana. Soma na wewe.
Siwezi tamani kazi za kuchungulia na kushika wanawake sehemu zao za siri. Kwa matamanio yenu Hata bila sababu za msingi mnashikashika private zaoWananchi tuheshimiane kwenye taaluma zetu. Kama unaona tunafaidi Sana. Soma na wewe.