Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Sema ni empty set kabisaMagufuli ni empty minded sana ktk suala zima la public administration!! Then anaamini vitisho ni tiba kwa karne hii ajifunze kwa Gadafi!!
Kwa sie wataalamu wa psychology tumeng'amua Magufuli ana extremely fear na sijui inatokana na nini kwa mtu anayejinasibu kupendwa!!
Eti amiri jeshi mkuu anakuwa na wasiwasi utafikiri diwan wa upinzan aliyegoma kununuliwa.