juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
Mwaka unakatika ila nina swali moja tu la kisiasa ambalo hadi leo sijapata jawabu.kama niwafuatiliaji wote mnakumbuka,sina kumbukumbu ya tarehe ila nakumbuka tu baada ya matokeo ya uchaguzi mwaka jana ya Zanzibar kuwa nullified ,kuna wakati Seif alikuja Dsm ikulu ambako walifanya mazungumzo ya siri na raisi JPM.hadi leo natamani kujua waliongea nini?