Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Kwangu binafsi nilijua ile siku ya jumamosi jioni wangekuwa wamemaliza mchakato wa kujiuzuru kwa jinsi walivyo ihujumu Tanzania. Lakini mpaka saa hivi kimya au ndio kanyaga twende Watanzania ni wepesi kulalama na kusahau