hivi Lowasa alipata kiasi gani cha kura Monduli

masaiti

Senior Member
Jun 16, 2008
196
22
Nilisikia matokeo ya ubunge wa Monduli katika radio na ilitangazwa kuwa Mh Lowassa ametapa ushindi wa 93.7%. Nimepitia website ya gazeti la Mwananchi linaonyesha kuwa alipata kura 3,236 dhidi ya kura 2,358 alizopata Bw Mollel wa CHADEMA. Ushindi huo ni wa 57% na Chadema 42%.

Je ni kweli jimbo la Monduli lina wapiga kura 5,661 Tuu?
 
Jamaa anaongea kura zote za nchi hii utafurahi ukisikia anapoamukia watanzania kwenye mikutano yake CCM. nafikiri CCM itapiga bao kama mia kwa bila majibu na UKAWA KAWA wanajua hilo, Magufuli jembe kali
 
Lowasa mwaka huu atapata kura 90% ya kura zote.
Kifupi Magufuli mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara hana kitu.
 
Pamoja na Mbeya, Iringa, Njombe, na Ruvuma Magufuli hana kitu

Pamoja na shinyanga,simiyu mwanza,geita na kagera hasa wilaya ya biharamuro magufuri hawezi pata hata kura moja na yeye analijua hilo.
 
Back
Top Bottom