South
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,514
- 5,137
amaMimi ama??
amaMimi ama??
Itakuwa kasikia kina John wanapenda maji ya kunde.Kwa nini unataka uwe maji ya kunde? Mungu ana makusudi yake kukufanya hivyo ulivyo. Samahani kwa kutoka nje ya mada na kuingilia uhuru wako binafsi, nimesema tu in good faith