Hivi 'Logically' tunasheherekea miaka 60 ya Tanzania au miaka 60 ya Tanganyika?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Ni nani Katuroga uwezo wa Kufikiri mpaka tumeshindwa kujua kuwa sasa hatuna Tanganyika bali tuna Tanzania na kwamba hata tu Kutaja neno Tanganyika ni kujitafutia tu laana na kukumbushia Mateso ya Wakoloni na Mababu na Mabibi zetu waliopambana Kutukombolea hili Taifa zuri la Tanzania?

Nyie Media za Tanzania pamoja na Watangazaji wenu hizo Promo za Miaka 60 ya Tanganyika Zuzu gani kawaelekeza mseme hivyo tena hata hamjishtukii na mnakazia kabisa.
 
Tanganyika ipo ki mtindo na zanzibar ipo kama inavyoonekana, inayosherekewa logically ni tanganyika na si tanzania. Hii tanzania inayoonekana bado haijafikisha miaka 60, ina miaka 57
 
Tunasherehekea uhuru wa Tanzania bara coz kuna Tanzania bara na visiwanj
Hiyo kauli yako ni ya kitanzania bara mno, we zetu wa visiwa I wameushikilia uzanzibari wao kindakindaki, kazi iko kwetu, tumeng'ang'ana na huo u tanzania, u tanganyika tumeufukia kwenye kaburi refu,
Kwa nini na sisi wabara tusijivune na u tanganyika wetu,
Kwani tutapungukiwa nini tukijitambua kama tanganyika, mbona visiwani wako proud na identity yao ya uzanzibari
 
Hiyo kauli yako ni ya kitanzania bara mno, we zetu wa visiwa I wameushikilia uzanzibari wao kindakindaki, kazi iko kwetu, tumeng'ang'ana na huo u tanzania, u tanganyika tumeufukia kwenye kaburi refu,
Kwa nini na sisi wabara tusijivune na u tanganyika wetu,
Kwani tutapungukiwa nini tukijitambua kama tanganyika, mbona visiwani wako proud na identity yao ya uzanzibari
Tanganyika law society (TLS)
 
Back
Top Bottom