Kuna makampuni yapo mwekezaji =foreigner, manager =foreigner, mhasibu= foreigner, bankers=foreigner, auditors=foreigner
Hata kama TRA watafanya audit yao kwa kawaida baada ya miaka 3 unategemea huo mlima wa data abaini wizi kweli kama si kupitisha kila kitu???
Kama serikali ingekua makini hasa eneo kama la uhasibu ambapo information zote za kampuni zitakuwa recorded ingeamua lazima awe mtanzania vinginevyo tunacheza tu.
Hata kama TRA watafanya audit yao kwa kawaida baada ya miaka 3 unategemea huo mlima wa data abaini wizi kweli kama si kupitisha kila kitu???
Kama serikali ingekua makini hasa eneo kama la uhasibu ambapo information zote za kampuni zitakuwa recorded ingeamua lazima awe mtanzania vinginevyo tunacheza tu.