Wa Bagamoyo
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 118
- 12
Eti jamani huu ni ugonjwa au ni nini mana sijawahi penda mwanamke, hua nasikia tu mapenzi yanaumiza bt me sijui hiyo kitu ipo vipi. Me ni single boy ukinipenda namaliza.leoleo túu. Je nitaweza badilika jamani mana umri wa kuoa umefika?