BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,126
- 733
Naona watu wa daladala wameanza kurejesha kusimamisha, hasa wakati wa jioni.
Ww unaiona ipo???Kwahiyo Covid 19 haipo tena?... nchi ya maigizo hii...
Jidanganye tu mkuu...Ww unaiona ipo???
Jibu swali.Jidanganye tu mkuu...
Nani umemuona ana Corona tangu itangazwe kuwa imepungua kama sio kuisha kabisa hapa nchini?Jidanganye tu mkuu...