mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Ni wazi Siasa za Tanzania zimejiongezea wasifu wa ZeComedy! Jinsi CCM wanavyochukua Wabunge na madiwani wa Ukawa-Chadema ni kama enzi za vita baridi za kuibiana majasusi. Lakini kuitisha mkutano usiku wa manane katangaza ni aibu.
Kama Bwana Humphrey Na Serikali Yao Wangekua kweli Wanawajari Hawa Wananchi Wanaowaita Wanyonge Tafadhari Wangesitisha Hii Biashara Ya Ununuzi Wangesubiri Mpaka 2020. Kwa Sababu Inagharimu Sana Pesa Zetu Ambazo Zingeenda Kwenye Maendeleo Mengine Waheshimuni Wananchi Wenu Basi.
Huwezi ukawa chama tawala imara kama unauwa upinzani na kudhani ndiyo siasa! CCM ya sasa ni mbovu na oga kuliko zote zilizowahi kupita... huwezi ukawa muoga kiasi hiki na hii ni dalili ya udhaifu sanaaa.
Ni haki ya kikatiba ya raia kujiunga na Chama atakacho Wakati wowote. Pia naamini ukiwa Kiongozi wa kuchaguliwa unapoteza haki binafsi kadhaa. Hama hama ya Wabunge, Madiwani nk inakatisha tamaa Wananchi. Inapelekea raia kuchukia Siasa. Ni hatari kwa usalama wa nchi yetu.
Mbunge Aliomba Kura Kwa Wananchi Mchana Hadharani Na Kwa Unyenyekevu Wote, Wananchi Wakamuamini Na Kumpa Ili Awatumikie, Leo Bila Hata Ya Kuwaomba Radhi Wale Wananchi Ana Bagain Biashara Na Mnunuzi Wa Mbuzi Usiku.. Mnunuzi Anafanya Yake Na Habari Imeishia Hapo. PUMBAVU
CCM wafanye marekebisho ya Katiba. Turudi kwenye chama kimoja. Baba wa Taifa alilazimisha ajenda ya vyama vingi. Hatukuwa tayari. Na hatuko tayari hata sasa.
mr mkiki.
Kama Bwana Humphrey Na Serikali Yao Wangekua kweli Wanawajari Hawa Wananchi Wanaowaita Wanyonge Tafadhari Wangesitisha Hii Biashara Ya Ununuzi Wangesubiri Mpaka 2020. Kwa Sababu Inagharimu Sana Pesa Zetu Ambazo Zingeenda Kwenye Maendeleo Mengine Waheshimuni Wananchi Wenu Basi.
Huwezi ukawa chama tawala imara kama unauwa upinzani na kudhani ndiyo siasa! CCM ya sasa ni mbovu na oga kuliko zote zilizowahi kupita... huwezi ukawa muoga kiasi hiki na hii ni dalili ya udhaifu sanaaa.
Ni haki ya kikatiba ya raia kujiunga na Chama atakacho Wakati wowote. Pia naamini ukiwa Kiongozi wa kuchaguliwa unapoteza haki binafsi kadhaa. Hama hama ya Wabunge, Madiwani nk inakatisha tamaa Wananchi. Inapelekea raia kuchukia Siasa. Ni hatari kwa usalama wa nchi yetu.
Mbunge Aliomba Kura Kwa Wananchi Mchana Hadharani Na Kwa Unyenyekevu Wote, Wananchi Wakamuamini Na Kumpa Ili Awatumikie, Leo Bila Hata Ya Kuwaomba Radhi Wale Wananchi Ana Bagain Biashara Na Mnunuzi Wa Mbuzi Usiku.. Mnunuzi Anafanya Yake Na Habari Imeishia Hapo. PUMBAVU
CCM wafanye marekebisho ya Katiba. Turudi kwenye chama kimoja. Baba wa Taifa alilazimisha ajenda ya vyama vingi. Hatukuwa tayari. Na hatuko tayari hata sasa.
mr mkiki.