lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Wanajamii wezangu naomba mnijuze hivi leo meya wa jiji alikuwa uwanjani kwenye uzinduzi wa ndege kweli?na kama alikuwepo mbona hakukaaa Mbele na mtukufu rais?
Rais akitaka apendwe,na watanzania wa dar walio wengi ajitahidi sana ashirikiane na meya ambaye ndio mwenye Kura nyingi za wananchi wa jiji la dar es salamu
Pili mh rais anataka watanzania wawe wazalendo,kama mh rais Anataka wananchi wa dar wawe wazalendo rais ajitahidi sana kuonyesha mfano wa kutokuwagawa watu kwa makabila Yao ya kivyama
Vyama kwa sasa ni makabila kwa mujibu wa mh warioba,kuna kabila chadema,ccm,,na cuf kwa hiyo ni muhimu mh rais akiteuwa watumishi wa umma aangalie makabila yote haya,asiangalie kabila moja tu la ccm, na akaacha makabila mengine kama cuf,na chadema
Rais akitaka apendwe,na watanzania wa dar walio wengi ajitahidi sana ashirikiane na meya ambaye ndio mwenye Kura nyingi za wananchi wa jiji la dar es salamu
Pili mh rais anataka watanzania wawe wazalendo,kama mh rais Anataka wananchi wa dar wawe wazalendo rais ajitahidi sana kuonyesha mfano wa kutokuwagawa watu kwa makabila Yao ya kivyama
Vyama kwa sasa ni makabila kwa mujibu wa mh warioba,kuna kabila chadema,ccm,,na cuf kwa hiyo ni muhimu mh rais akiteuwa watumishi wa umma aangalie makabila yote haya,asiangalie kabila moja tu la ccm, na akaacha makabila mengine kama cuf,na chadema