MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Ipatikane tume huyu ya uchaguzi, uwanja uwe huru waachwe wachezaji wacheze fairly,nasema hivi hakuna wa kusimama nae.
Wataendelea kumtukana, hoja ya ufisadi kwake sio hoja tena maana ulikua ni uongo wa kutunga ambao mpaka leo hauna uthibitisho wowote.
Sidhani leo hii akisimama tena kugombea nafasi hiyo sijui watamzushia nini tena, si ugonjwa tena wala ufisadi vyote yalikua matusi na propaganda kwake lakini leo sijui watazusha nini tena.
Mnaosema kua Lowassa hawezi kuongoza nchi hii ninyi ni kina nani? Thibitisheni sababu za yeye kutokuongoza taifa hili kama sio woga na hofu tu. Wenye maamuzi hayo ni watanzania na si kundi la watu wachache.
Wataendelea kumtukana, hoja ya ufisadi kwake sio hoja tena maana ulikua ni uongo wa kutunga ambao mpaka leo hauna uthibitisho wowote.
Sidhani leo hii akisimama tena kugombea nafasi hiyo sijui watamzushia nini tena, si ugonjwa tena wala ufisadi vyote yalikua matusi na propaganda kwake lakini leo sijui watazusha nini tena.
Mnaosema kua Lowassa hawezi kuongoza nchi hii ninyi ni kina nani? Thibitisheni sababu za yeye kutokuongoza taifa hili kama sio woga na hofu tu. Wenye maamuzi hayo ni watanzania na si kundi la watu wachache.