elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Huyu alikuwa producer mkali wa mziki ambaye aliibuka kipindi ambacho akina majani walianza kupotea kipindi ambapo waliibuka ma producer wengi kama mako chali, nah real naye na wengine.
Alitengeneza hits kibao lakini mara gafla fish crab imepotea?
Hivi yuko wapi na je bado ni producer?
Alitengeneza hits kibao lakini mara gafla fish crab imepotea?
Hivi yuko wapi na je bado ni producer?