Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
Biashara inayoongelewa kwenye bomba la mafuta Kati ya Tanzania na Uganda inaonekana Kama ya wadau wawili, ila nasikia na Mkenya akiongelewa na Mmarekani pia, hawa jamaa vipi? Ni story tu au wana chao?
Tanzania na Uganda zimegawana 50% ya share 25% kila mmoja. Hizo 50% nyingine wapo kina nani na wanachangia nini?
Tanzania imeshakubali kutoa eneo lake kwaajili ya hili bomba, imetoa pia miaka ishirini ya 'tax depreciation holiday' na VAT ya Sifuri(0).
Hao wadau wengine wenye asilimia 75% (majority) wametoa nini?
Kuna anayeweza kutuambia haya mambo yakoje tofauti na zile story za dada zetu kupata kazi ya kuuza chakula?
Na issue ya kuwa ugunduzi wa gesi tutafaidika nao zaidi kwaajili ya hili bomba imekaaje?
Kwanza tuna gesi ya ziada ya kuuza kwenye huu mradi kwa maana ya nishati?
Hivi kuna ukweli wowote, hata kidogo?
Usije kuwa mradi mwingine wa kumuimbia Jiwe utukufu na sifa wakati waimbaji hatupati kitu!!
Tanzania na Uganda zimegawana 50% ya share 25% kila mmoja. Hizo 50% nyingine wapo kina nani na wanachangia nini?
Tanzania imeshakubali kutoa eneo lake kwaajili ya hili bomba, imetoa pia miaka ishirini ya 'tax depreciation holiday' na VAT ya Sifuri(0).
Hao wadau wengine wenye asilimia 75% (majority) wametoa nini?
Kuna anayeweza kutuambia haya mambo yakoje tofauti na zile story za dada zetu kupata kazi ya kuuza chakula?
Na issue ya kuwa ugunduzi wa gesi tutafaidika nao zaidi kwaajili ya hili bomba imekaaje?
Kwanza tuna gesi ya ziada ya kuuza kwenye huu mradi kwa maana ya nishati?
Hivi kuna ukweli wowote, hata kidogo?
Usije kuwa mradi mwingine wa kumuimbia Jiwe utukufu na sifa wakati waimbaji hatupati kitu!!